filmov
tv
Buki - Ikitokea (Official Lyrics Video)

Показать описание
#ikitokea #Buki #hitsong
Produced by Morebeatz
M&M Mocco genius
For Bookings:
Connect With Buki On:
Listen on other Platforms:
Lyrics:
Mungu aliumba mbalamwezi kwenye giza ili twangaze
Kaumba jua kaumba miti
Kwa kivuli tujibanze
Dunia kaipamba na mapenzi
Mi na wewe tupendane
Hakuyaumba machozi
Ili mradi tutulizane
Nimezipata salamu
Kwa minal ibirisi
Kashanyooshwa
kalimiss Langu penzi
Kabla hujanipa utamu naomba umtumie msg Ajue umenikatazwa
Mazoea na Maex
Nakama ikitokea Naikitokea
Mi niko peponi naikitokea
We Uko motoni
Naikitokea Nitakufata naikitokea ooh ikitokea Naikitokea
Moyo wako haudundi tena
Naikitokea Basi wangu hauna mana Naikitokea
Nautoa Nakupa Nautadunda papapapariraraa parirara
Papapapariraraaa pararararaa X2
Ukiacha gubu wivu ndo udhaifu wake
Amenikataza mazoea Najinsia yake
Yeye ndotwabibu mimi ndo udugu wake hataki masihara kabisa nautamu wake
Nikimpata muugwana Anayenijali mie yalaaah
Mapenzi yangu dhamana siwezi kucheat mie yalaaah
Nakua boya naNg’ang’ana Nanyenyekea mie
Waulize marafiki zangu wananijua mie
Nakama ikitokea naikitokea
Mi nikopeponi
Naikitokea we upo motoni ii nitakufata
Ooh ikitokea moyo wako audundi tena basi wangu hauna mana aah nautoa nakupa nautadunda papapapariraraa papaparararaa x2
Produced by Morebeatz
M&M Mocco genius
For Bookings:
Connect With Buki On:
Listen on other Platforms:
Lyrics:
Mungu aliumba mbalamwezi kwenye giza ili twangaze
Kaumba jua kaumba miti
Kwa kivuli tujibanze
Dunia kaipamba na mapenzi
Mi na wewe tupendane
Hakuyaumba machozi
Ili mradi tutulizane
Nimezipata salamu
Kwa minal ibirisi
Kashanyooshwa
kalimiss Langu penzi
Kabla hujanipa utamu naomba umtumie msg Ajue umenikatazwa
Mazoea na Maex
Nakama ikitokea Naikitokea
Mi niko peponi naikitokea
We Uko motoni
Naikitokea Nitakufata naikitokea ooh ikitokea Naikitokea
Moyo wako haudundi tena
Naikitokea Basi wangu hauna mana Naikitokea
Nautoa Nakupa Nautadunda papapapariraraa parirara
Papapapariraraaa pararararaa X2
Ukiacha gubu wivu ndo udhaifu wake
Amenikataza mazoea Najinsia yake
Yeye ndotwabibu mimi ndo udugu wake hataki masihara kabisa nautamu wake
Nikimpata muugwana Anayenijali mie yalaaah
Mapenzi yangu dhamana siwezi kucheat mie yalaaah
Nakua boya naNg’ang’ana Nanyenyekea mie
Waulize marafiki zangu wananijua mie
Nakama ikitokea naikitokea
Mi nikopeponi
Naikitokea we upo motoni ii nitakufata
Ooh ikitokea moyo wako audundi tena basi wangu hauna mana aah nautoa nakupa nautadunda papapapariraraa papaparararaa x2
Комментарии