MAJONZI: RAIS SAMIA, MWINYI, MABEYO KWENYE MAADHIMISHO YA KARUME DAY

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mashallah alhamdulillah ndio viongozi wetu waanzilishi wa muungano wetu, Allah awape kauri thabiti, aaamina, awarehemu naawaonoshee adhabu yaraabi

ashamwandu
Автор

Yaan ni msiba huu wallah kwa waislam 😭

dotahamad
Автор

Millard Ayo, uko vizur mzee hubagui katika Kaz zako zote unafanya kwa moyo mkunjufu

saadallaabdalla
Автор

Raic mwenyew huy me ata cmuelew kaanz na kuwazngua T R.A na tunajua waz kuw kod ndizo znaz kuza uchum wa Nnchi. Kwa hali hii mpak kufk mwakan, Tanzania tutaanz kuomb mikop kitu ambach Maguful alikikataa katu katu

frans_dede
Автор

hili kaburi ni la muislamu dua inatosha maua si mila za kiislamu

farajiyapesa
Автор

Hayo mambo ya mauwa naona ishakua fashion sasa mana yajayo yanasikitisha

naamohamed
Автор

Jamani leo ndio nimejua why dini yetu imekataza siasa, haya mtu kafariki muislam abeid amani leo kazikwa kikafiri, makaburi kujengwa na mauwa heh, Mama ukija fariki nawe ujue utafanyiwa hivyo hivy, haya mbona tena unamfanyia na rukuu kabisa? Aise نسأل الله الهداية والثبات

raniergalis
Автор

Jamani maua tena vipi kwa imani ya kiislamu?innalillah wainnaillah rajiun.

amnewarji
Автор

Ma raisi yote waislamu lkn hawajui uislamu hayo mauwa na kuinama ndo nn

lesusi
Автор

Maua tenaaa pandeni mti hapoo inatoshaaa

aviwaomar
Автор

Na maua tena jamani kaburini mbona ya wageni hayo Allah ampumzishe salama InshaAllah

abuialmarjibi
Автор

Comments za kutukana za nini si bora unyamanze mwache Raisi kazi iendelee

amosdaud
Автор

Mauwa ya nini tena mnakuwa wakristo gafla

mabyserolouchcraig
Автор

Nyie waisram kuweka maua kaburini kwa aya gani hayo mambo ya wazungu hayo

wiliampaulo
Автор

mtume amesema yoyote mwenye kujifananisha nawatu ambao siodini yake basi yupo pamoja nao ayo sio mambo yakumfanyia muislam muislam anapo farki chakula chake ni dua nakumtolea sadaka yenye kuendelea nasio kumuekea maua tuacheni kuiga ndugu tutakua wenye kupata khasara

mkazahamisi
Автор

Mambo ya maua wapi na wapi tena yaa rabb? Khitmah ishasomwa DUAA zishaombwa ndio sahihi na c khabar za maua, hiyo c ktk milla za uislamu

jaafarjacka
Автор

Tuache kuiga umagharibi maua yatamsaidia nini marehemu ujinga tu

saidalisamir
Автор

Huyu raisi wenu mnaemsifia asubuhi mpeni mwaka 1 mtamjua nani alimuweka kwenye hiyo seat ya uraisi, ...damu ya magufuli haito waacha huyu mama na groep lake

lulurubby
Автор

Sasa mauwa ya nini jamani tumuogope Mungu

aishachambo