S2Kizzy amshambulia Baba Levo kwa matusi kisa alimuambia akubali Diamond amemsaidia

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Pamoja S2kizz mtu akizingu atakama ni boss potea, riziki anatoa mungu huyo babalevo wacha amuabudu mondi tu!!

saidfhamad
Автор

Walifanya kazi na biashara hakuna kusaidiana hata yeye alikuwa na kipaji chake tayari, it was a great opportunity to work together and they're both legends...

sakinaomary
Автор

Hawa machawa wanataka diamond aabudiwe well done stkizz

shwaibukhatibu
Автор

Tatizo ni kusumbuliwa na uafrica mwingi na scarcity mentality.
Diamond anafanya biashara hasaidii watu, Sasa shida iko wapi, si bora there are return of investment.
Bila hao wasanii ama producer diamond hangeingiza hela zaidi kwa mziki, kupitia wasanii anaingiza kipato kikubwa cha hela so it's a win win.
Hata angewekeza kwa biashara ingine kando na wasanii, hawezi kuepuka hasara ama competition from outside or within .
Kama Anaona anawasaidia sana ajiproducie ngoma binafsi na asi sign msanii kando na ndugu zake

goldenfingers
Автор

Unamsaidiaje producer wakati yeye ndio amekusaidia wewe... Ametengeza beat.. mmefanya session studio.. nchi za wenzetu huko ma producer wanakula sahani moja na wasanii when it comes to money... Kwanza beat ni mali ya producer milele na milele

badmanno.
Автор

Hivi watu haujui maana kumsaidia mtu, watu wanafanya kazi sio kusaidiwa

issrahayattv
Автор

Baba levo nae atulie watu wanafanya Kaz sio kusaidia

MITOBO
Автор

@babalevo amekuwa aelewi kusaidiwa na kujituma, @s2kizzy amejituma sana, hapo pakusaidiwa sikubaliani nayo, amefanya kazi naikakubalika...the guy is a master craft in his job..

bronzehke
Автор

Uyu s2kizy alikuwa anafanya interview akiwa ameshika chupa za bellaire 🤣🤣🤣 full kujimwambafai, leo yamemkuta kadai chake watu wamempunguza 🤣🤣

pena_tz
Автор

Some matters are disgusting to imagine, why do they always claim they helped someone when it was purely business, kama hange kua mkali, they wouldn't have worked with him.

worldtrends
Автор

Naona tupo kwenye msimu ambao mambo mengi yaliyokuwa sirini yatajiinua juu watu watajua ukweli kwasiri nyingi nzito ambazo walikuwa hawafahamu, na usaliti utaongezeka na kuwa mkubwa kwa msimu huu wa mwezi wa 8 mpaka mwezi wa 12, kwenye Kila aina ya mahusiano yawe yakazi, yakirafiki, yakiuchumba, Kila sekta husika itakumbwa na hii hali

mrjohn
Автор

Baba levo huyuuu mwijaku alisema baba levo alikuwa Diwani alifika mpaka jela sk2kz Ata asingekutana Mond mda wake ungefika

ziyandamhlana
Автор

Shukrani ya nn wakati Kila mtu anafanya kazi

mwaigwamagashi
Автор

Jaman s2kz alivamiwa alinunulia vifaa vya studio yan jembe kampeleka pakuuzia mazao yan music ni ukweli mtupu

mtazycomedy
Автор

Ajaogea v baya Kama amemtusi ajipage kwa matus mazito y b levo 🇰🇪

aishambise
Автор

Hi kitu imemuuma Sana s2 kizzy mondi kusafiri na laiza ndio maana ya hii Vita inaonekana safari ilikuwa yake na mondi kama kastuliwa na maneno ya majan inamana s2 alikuwa analalamika chinichin bosi akaona amteme ili asilete shida kubwa hapo mbele s2 Kama mjengo alikuwa hajamalizia alikuwa ameisha ipigia mahesabu akifanya huu mzunguko amalize mjengo dah huwezi jua la mbeleni

husseinhcube
Автор

😂😂😂majan alisema mkakataa now wameanza kugeukana

yeunhiasrwetze
Автор

Masta j alishawai kumwambia akaja juu kwa kipindikile hakumwelewa lkn now alikua anamaanisha

shubebunyesi
Автор

Kamsaidia kivp mbna vichekesho kwan s2kiz c alikua produser zaman ila mond ndo kasaidiwa maan kabeba tunzo kwa ngoma alizotengeneza s2kis

salumsalim
Автор

Jifunzeni kuwa na uvumilivu na busara km Lizer, kipnd ambacho diamond ana safir na s2ks km Lizer angekuwa mjinga angesikiliza maneno ya watu ili akosane na diamond lkn lizer hakuwa na neno wala hakukomplain kuwa diamond hasafir nae alitulia ofcn na kuendelea na kaz nyingne.

coolzeddy_official
visit shbcf.ru