Marioo ft. Bien - Nairobi (Lyrics)

preview_player
Показать описание
Nairobi lyrics - Marioo ft. Bien
🔔Turn on the notification bell to stay updated

Nairobi Lyrics:

Verse 1;
Nilikutana nae kilimani Nairobi
Elfu mbili na kumi na tano
Kibaridi cha asubuhi kijua flani sio kikali saa tano
Ooh, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, oh
Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano
Ah, nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
She's my number, ah, number, ah moja
Nikamuomba akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Now she's my number, ah, number, ah, moja

Chorus;
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
Tushaoana
Ndio tushaoana
Ndio tushaoana

Hook;
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)
(Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah)

Verse 2;
Tulipatana Bongo Mikocheni
Niko zangu beach nala upepo wa bahari
Alinipita kama meli
Anayumbayumba akidondosa kishenzi
Ooh, Mikocheni nikamfata utadhani zombie
Habari gani mbona uko lonely
Jina ni gani akasema Zari
Nikamwambia aje (aje)
Nikamwambia kwangu ni kwake
Nimshike wapi ndo aje
Nataka moyo wangu uwe wake

Bridge;
Watangoja sana
Wakidhania tutaachana
Mi' na yeye tumeshaivana
Naichapa usiku na mchana
Aiyaiyayah, aah

Chorus;
Yani namaanisha kwamba
Ndio tushaoana
(Tushaona na yeye sa' ni mi' tu na yeye)
Tushaoana
(Tushaona na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye)
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah
Ndio tushaoana
Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah

Outro;
Oh, yeah, tushaoana
Ooh, alooh!

Tags:
Nairobi Marioo ft Bien
Nairobi lyrics Marioo ft Bien
Nairobi city

#Marioo #Bien #Nairobi #lyics

GOD BLESS🙏 YOU.
Рекомендации по теме