AGIZA BIDHAA MTANDAONI KUPITIA ALIEXPRESS

preview_player
Показать описание
Katika video hii ya leo, tunakwenda kuangalia jinsi ya kuagiza bidhaa mtandaoni kupitia kampuni ya Aliexpress. Video hii itakusaidia kujua ni vitu gani vya muhimu kuzingatia wakati wakuagiza bidhaa mtandaoni.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Ahsante Kaka naomba uniunganyishe na Ruben

jumamfaume
Автор

Wee Bwana unatufumbua macho barikiwa sana from Nyanda za juu kusini.

ellymligo
Автор

Thanks Brother. Umewatafunia vijana ajira Washindwe Wenyewe🥂

elirehemamollel
Автор

Thanks Francis. Good.
But where do we put the postal address details.? How and what goes to where on the form that record those details.?

anoldel-math
Автор

Asante kwa maelezo mazuri, naomba kujua mfano hivo vitenge inakuwa piece ngapi maana naomba being kubwa kuliko huku kwetu.msaada pls

ElikaeliasKapaya
Автор

Kaka nataka niagize baiskeli, , vip kwa kukadilia kodi ntakayolipa posta itakuwa sh ngp, , , baiskel ina kg 35

musamwibela
Автор

Kipindi kizuri sana kaka endelea kutuletea maalumati

salafitvsalafitv
Автор

AliExpress, mbona kuna changamoto, minimepataaaa, nifanyeje asee, kabla sijasubscibe

sagen
Автор

Samahani kaka nilikua nataka kujua. Ivi ni gharama gani wanakata pale posta. Nimeagiza graphic card ya laki tatu. Nilikua naomba namba tuzungumze

isackibrahim-ti
Автор

Unapatikana wapi? Au naomba mawasiliano ili unielekeze vizuri au kama kuna uwezekano nikuone ana kwa ana. Asante sana umeelewesha vizuri

myfuraha
Автор

Tunaweza kuagiza kutoka USA, UK, Turkey, Dubai, India, Ebay na Amazon na kuletewa Dar es salaam kwa njia na bei rahisi? Kama una idea tafadhali make a video on it

altafyusuf
Автор

Naomba namba ya huyo ambae hua anawasaidia kuagiza mzigo

rutwizovideo
Автор

Mm shida yinakuwa kwenye post code ila master card nimetengeneza

FlemingBarakaElizabeth
Автор

Naomba unieleweshe, endapo nikiagiza bidhaa yang ikafika bandarini ni nani atakayeilipia kodi??

diamondjx
Автор

Mimi nimelipia lakini sijaona oda yoyote na malipo tayari yamekamilika naomba msaada

hafidhmwadin
Автор

Kk msaidie uyo rfk yko Ruben watu wengi nmeona wameomba no zake hat mm nazitaka ila km huzion comment

mushafadhil
Автор

Naomba namba yako kiongoz ili unisaidie maelekezo kama hotojali

pastorlugad
Автор

Free shipping kwangu nilikaa mwaka mzima sirudii Tena kuagiza pasipo kuchajiwa usafiri

kilianmtotowamungu
Автор

Me naitaj kujua jinsi y kulipa na address cna me niko dar kaka nataka kununua alibaba

HawaMsafirf-hfib
Автор

Ntumie namba yako Kwa mawasiliano zaidi

charlesnipala
join shbcf.ru