Nay wa Mitego Ft Raydiace - Nitasema(Official Music Lyrics)

preview_player
Показать описание
Ewe mtanzania mpenda mabadiliko na haki nakualika kutazama na kusikiliza huu wimbo naomba ushirikianoi wako
Song Produced By Chiby Beats
Video Shoot By Zizi
Script By Frank Kibonge
Location By Kibaka & Said

Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:

Connect Nay Wa Mitego on Social Media:

©2024 Free Nation.All rights reserved.

#NayWamitego #nitasema
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wasanii wanao jielewa hapa tz wachache sana mungu awalinde msipotee kuliko julikanaaa

EliaMwampamba-hn
Автор

Mimi sio wa kwanza na wala sio wapili, Lakini nataka Likes za wale walioelewa hiLi goma. Ni huzuni jamani 😢😢😢

razakilipwelele
Автор

😭😭😭😭nalia kwasabu tumekuwa bize kuwasaport mademu wa p didy na kumsahau msanii wetu hii ndo kitu inaniuma sana

justinlusambo
Автор

Walio Rudia hiii ngomaa zaidii na zaidii naomba like Brother unajua sana

MelikiMborio
Автор

Kama wakenya 🇰🇪 mme verify hii ni mbonge la anthem, gonga like.

itsgghanib
Автор

Ney nisipo sema wewe ni msanii bora tanzania, , takuwa sijakutendea haki, , wimbo nimeupenda

Peterchipemba
Автор

Unajua mpka unajua mdogo wng kz nzr keep up 🎉🎉

MussaZozo
Автор

Hebu tuifanye hii ngoma itrend milele na iwe juu kote, tuachane na wasanii mashoga wakata viuno na waremba lips

nakalikyumile
Автор

Wao ney anafaa kuwa msanii aneye ongoza kwa subscription all platforms in Tanzania hii ndio shukrani pekee tunyaweza kumpa huyu shujaa wetu

sissionenekiroway
Автор

hizi ndizo nyimbo sihao wanao imba porojo❤❤❤ from kenya🇰🇪

MaeJackline-nmeg
Автор

sema mwanangu umebaki peke yako nakubali kwa uzalendo ww kioo Cha jamiii wengine wanawakee tuuu ❤

KrmulahOmary
Автор

Kenya tunakupenda wakumbushe uyo mama yenu samia nitaila

MaulidyMadyo
Автор

Binafsi nakutegemea kukuona bungeni 2025... kama siko peke yangu gonga like tumpeleke bungeni rais wa kitaa...

emanuelvintan
Автор

Nita sema Ila bado naji réserver tuh Kipimo from RD Congo

Nicolasmulumbilwakipimo
Автор

Mtu kama huyu ndiyo wakumfollow na kumuinua zaidi, lakini nashangaa wachache wasiojielewa hawajui hilo, wanamfollow Mtu asiyewasemea Wananchi shida au madhira wanayopitia kama ya haya matukio ya ajabu, Watu kutekwa, kupotezwa au kuuwawa, hili ni janga la Kitaifa kwa sasa, wenye utimamu wa akili wanajua hilo, ahsante sana NEY na sisi jamii iliyostaarabika, inayopenda Amani na Upendo inakuambia mema MUNGU akuepushe na watesi, maana huwa unaamua kujilipua kwa kuwasemea Wananchi pasipo kujali baya gani litakupata.

bockerNyarusahi
Автор

Nakusikiriza sana nawomba usonge mbere I'm in Kigali✊✊👍

UwimanaAbdul-yn
Автор

watanzania fungukeni macho mnanyanyaswa na hamusemi na hamuoni #morara kebaso

theeoutlaws
Автор

Police wanapewa Kazi wamtafte police kama unakubaliana. Na Nay tujuane hapa kwa like

AmaniNasoni
Автор

Ongera sana Mr Nay mungu akupe maisha marefu naomba like jamani 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

CaissenguiraCaisse
Автор

hii ndio sanaa
Na ndio maana halisi ya kiooo Cha jamiii
ujumbe umefika umetuwakilisha

AllyShaban-eifj
visit shbcf.ru