Mch Moses Magembe - KAZI YA ROHO MTAKATIFU KATIKA MAISHA YA MWAMINI

preview_player
Показать описание
Ibada ya Jumapili 26.06 katika kanisa la GOSPEL CAMPAIGN CENTRE TAG Majumbasita Ukonga - Dar es salaam chini ya Mch Moses Magembe.

Ujumbe: KAZI YA ROHO MTAKATIFU KATIKA MAISHA YA MWAMINI
Andiko: Yohana 14:16
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 26.06.2022
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Amen amen amen ubarikiwe sana baba yetu Mungu akubariki

bernadetteshukuru
Автор

Asante sana baba Mchungaji ninazidi kuimarika kiroho kupitia mafundisho yako

janenonge
Автор

Naomba niwashe mpya RH .nipo tayari Mungu anisaidie

neemakivaria
Автор

Mungu azidi kukubariki Pastor, Mafundisho yko, ni kweli na hakika, na mafundisho yko yananifanya nizidi kukua kiroho

stephenezekiel
Автор

Ni furaha mbingun na kwetu pia kwa waliokombolewa tunafurahi sanaaa

emanuelwilliam
Автор

Kutoka Asia Niko mjungaji mungu akusidizie nehema

dorisgesare
Автор

Mzee wetu leo kafrahi furaha ya ndani kabisa

estermathias
Автор

Hao watumishi Wana wafanyia watu hivi Mungu atawapiga kabisa hata nilisikia alishikwa na police sijui Kama ni yeye au ni mwingine

kimsamespa