ROMA. NIMKATOLIKI? NAFSI JITOKEZE(OFFICIAL VIDEO)diamond-alikiba-yanga-simba-hamonize-mellard ayo

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Haikua nahaja yaku2mia jna lam2 ungeandika lako2 mbna pia ungetrend2 Ngoma Kali san🌹🌹🌹

maulidichongoe
Автор

Hiii Ndio nyimbo yangu pendwa mamba Moja

MalaikaFurniture-qhvd
Автор

Duu sijaweza kwenda hata ofisini leo mungu wewe unaweza tusamehe na mpunzishe kwa amani JPM

meryshekoloa
Автор

Nic da watuwanajua ila tu watanzania awawaoni

cantonadelegatus
Автор

Nawapongeza sana Kwa kumkumbuka mtetezi wa nyonge

basilmwalongo
Автор

Mungu amrudishe kwa kupitia mtu mwingine anayeweza kuwajari wananchi .

danpaulo
Автор

Sio TZ tu kila mahali noma sana... Hamna watetezi.. Jamaa wanakula hao

vitukovyasilvernamtaawake
Автор

Kweli nimeshaota ndoto kuwa magufuli amefufua

yawepetro
Автор

Munaelia ndio wale ambao kwenye msba mlifanya Sheree binadamu mbwana sjui lipi jema kwetu mungu mpumzishe kwa amani

AbdalahAgustino
Автор

Bigup sana blood jah bless youu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

ismadigitalsolutions_TZ
Автор

Nakubali sana bonge la wimbo achana na wanaotukana

jkomedikaduli
Автор

JPM hapo ndipo arpo jimarza hakujuwa kikuracho kiiii nguoni mwako

msafiriomary
Автор

Wtz bd wanamaumivu kuhusu kifo chako, pumzka kwa amani mtetezi wetu.

HenryAnatoly-jgdf
Автор

Unyama mwingi song iko poa tutamukumbuka

onelovetz
Автор

nyimbo kalizaidi kuwai kutokea tanzania we unajua kuliko roma japo haujiamini umetumia jinalake wakat unamzidi jiamin bro unajua

SamweliJacob-bmij
Автор

Nice song kaka mana kazi alifanya ila Mungu amkumbuke mana kumpata kama yeye nisawa nakurudisha Moshi uliopaa kukuleta chini

SamwelAbsalum
Автор

KILICHO NILIZA NI KUMUONA MAMA ANAPIKA JIWE ILI MTOTO AMINI KUWA CHAKULA KIPO JIKON UKU MAMA AKIPIGA MAESABU KUWA MTOT ASUBIRI KISHA ATALALA CK ITAPITA ILA NAWAZA KESHO ASUBUH MAMA ATAKUWA PLAN GANI

ramadhanimohamed
Автор

Mungu akusaidie muimbaji kwa kumkumbuka rais wetu majari maisha ya wanyonge

nestmyombe
Автор

Jamni huyu mzee jmn.. Mpumzishe kwa amani au mlipe km alivyo tegemea siku akifa awe hata mfagia uwanja wa malaika huko mbiguni

josephat
Автор

Usikate tamaa amini kua kila kitu kinawezekana ukijituma🙋🕺

EmanueliDaudi-ih