filmov
tv
JACK SIMELA Alivyozikwa, Vilio Vyatawala, ManFongo Amfungukia!

Показать описание
JACK SIMELA Alivyozikwa, Vilio Vyatawala, ManFongo Amfungukia!
JUMAMOSI Iliyopita Msanii wa muziki wa Uswazi Mchiriku, Jackson Simela 'Dogo Jack', na wenzake watano walipata ajali ya gari na kufariki dunia papo hapo maeneo ya Nanenane mkoani Morogoro.
Kwenye ajali hiyo iliyotokea jirani na kituo cha Mafuta cha nanenane Dogo Jack alikuwa na wenzake 6 wakielekea makaburini kumzika ndugu wa msanii huyo aitwaye Elizabeth Kazimoto ndipo walipogongana uso kwa uso na lori aina ya scania.
Mmoja wa mashuhuda aliyejitambulisha kwa jina la Chopa Ally alisema kwa jinsi alivyoshuhudia ajali hiyo ilitokana na uzembe wa dereva aliyekuwa akiendesha gari dogo alilokuwemo marehemu Dogo Jack.
Watu sita waliokuwa kwenye hilo gari dogo walikufa hapohapo huku majeruhi mmoja Abdul akiwa amekimbizwa hospital baada ya kichwa kufunuka na kuvunjika mguu.
#RIPJACKSIMELA
JUMAMOSI Iliyopita Msanii wa muziki wa Uswazi Mchiriku, Jackson Simela 'Dogo Jack', na wenzake watano walipata ajali ya gari na kufariki dunia papo hapo maeneo ya Nanenane mkoani Morogoro.
Kwenye ajali hiyo iliyotokea jirani na kituo cha Mafuta cha nanenane Dogo Jack alikuwa na wenzake 6 wakielekea makaburini kumzika ndugu wa msanii huyo aitwaye Elizabeth Kazimoto ndipo walipogongana uso kwa uso na lori aina ya scania.
Mmoja wa mashuhuda aliyejitambulisha kwa jina la Chopa Ally alisema kwa jinsi alivyoshuhudia ajali hiyo ilitokana na uzembe wa dereva aliyekuwa akiendesha gari dogo alilokuwemo marehemu Dogo Jack.
Watu sita waliokuwa kwenye hilo gari dogo walikufa hapohapo huku majeruhi mmoja Abdul akiwa amekimbizwa hospital baada ya kichwa kufunuka na kuvunjika mguu.
#RIPJACKSIMELA
JACK SIMELA Alivyozikwa, Vilio Vyatawala, ManFongo Amfungukia!
MKALI WA FREE STYLE WA SINGELI JACK SIMELA
Wafanyakazi TSN wamlilia mwanahabari aliyefariki kwa ajali
Mpangaji, dogo jack
AJALI YATOKEA STAND YA NANE NANE MBEYA
UTATA! KIJANA AFIA MIKONONI MWA POLISI, AKAKUTWA NA PEMPAS....!
Muimbaji wa Mapacha 'Erick' afariki kwa Ajali, aliyawahi kutamba na wimbo 'Mapenzi K...
Karibu kuitizama new video kutoka kwa risho simela
Sholo Mwamba - Hao Visingeli wote kwangu ni kama Paka tu
Tazama : Polisi walivyowauwa watu 7 kisa ujambazi
Chapo simela tunaliamsha Dudeee Video Out now
Rip dogo
Waliokula 'RAMBIRAMBI' ya 'MASOGANGE' kuumbuliwa
Pepe mkushi r i p isaac
Dakika 10 za JACK WOLPER - ''Mtoto Wangu KANIBADILISHA SANA Zamani Nikiamka NASHIKA SIMU&a...
Tazama pesa ilivyowabadilisha hawa.
FAINALI KOMBE LA DUNIA: MAN FONGO ASEPA NA KIJIJI CHA MASHABIKI
INGIA TU CHAMA YA MAZISHI 🤔🤣 @Prezo_kambaComedy
Hii Ndio Sababu Ya Kifo Cha Sheikh Juma Marjebi||Mdogo Wake Aweka Wazi
Jagwa Music on stage at Global CPH.mp4
BREAKING: Mbunge CHADEMA Anusurika Kifo Morogoro, CHADEMA Watoa Neno
MAZISHI YA ASHA MUHAJI: AZIKWA KAMA MALKIA NA MAMIA YA WATU, MANARA AHUZUNIKA..
New Albert mangwer
PIGO kwa Afrika! MSIBA mzito umetokea,Aliekua msanii wa muziki wa Afro-jaz 'MTUKUDZ' afari...
Комментарии