JACK SIMELA Alivyozikwa, Vilio Vyatawala, ManFongo Amfungukia!

preview_player
Показать описание
JACK SIMELA Alivyozikwa, Vilio Vyatawala, ManFongo Amfungukia!

JUMAMOSI Iliyopita Msanii wa muziki wa Uswazi Mchiriku, Jackson Simela 'Dogo Jack', na wenzake watano walipata ajali ya gari na kufariki dunia papo hapo maeneo ya Nanenane mkoani Morogoro.

Kwenye ajali hiyo iliyotokea jirani na kituo cha Mafuta cha nanenane Dogo Jack alikuwa na wenzake 6 wakielekea makaburini kumzika ndugu wa msanii huyo aitwaye Elizabeth Kazimoto ndipo walipogongana uso kwa uso na lori aina ya scania.

Mmoja wa mashuhuda aliyejitambulisha kwa jina la Chopa Ally alisema kwa jinsi alivyoshuhudia ajali hiyo ilitokana na uzembe wa dereva aliyekuwa akiendesha gari dogo alilokuwemo marehemu Dogo Jack.

Watu sita waliokuwa kwenye hilo gari dogo walikufa hapohapo huku majeruhi mmoja Abdul akiwa amekimbizwa hospital baada ya kichwa kufunuka na kuvunjika mguu.

#RIPJACKSIMELA

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Bas niseme nini Mungu wajua nilivyopenda kazi za Simela...Wewe ndo mweza wa yote Tunakushukuru.

amanjoseph
Автор

mtangazaji anazingua sana, kama steve mweusi😂😂.rip mwamba

asiatanika
Автор

Mwenyezi Mungu atukuzwe Kazi ya Mungu haina makosa Pumzika kwa Amani kaka!!

amanjoseph
Автор

huyu muliza maswal mbona simuelewi jamn ???😂😂

abuusaidy
Автор

hii sio accident, katolewa kafara. na accident nyingi kama hizi juu ya kumtoa mtu kafara zitatokea sana tu, kwasababu ni njia yao moja na nyingine wanazo tumia.

pindabutter
visit shbcf.ru