Kadi mbili nyekundu kwa Alliance beki akigeuka kipa: Alliance 0-0 Mbeya City (VPL - 31/10/2019)

preview_player
Показать описание
Ligi Kuu Soka Tanzania Bara imeendelea leo kwa michezo miwili kuchezwa jijini Mwanza ambapo kwenye dimba la Nyamagana mwenyeji Alliance FC amelazimishwa suluhu na timu ya kizazi kipya Mbeya City kwenye mchezo uliokuwa na ushindani Mkubwa.

Mchezo huo ambao timu zote zilionesha nia na dhamira ya kupata ushindi ulikuwa na purukushani za hapa na pale uwanjani hali iliyopelekea wachezaji wawili wa Alliance kupata kadi nyekundu ambao ni Israel Patrick na mlinda mlango John Mwanda.

Baada ya mlinda mlango wa Aliance kutolewa kwa kadi nyekundu beki wa kushoto wa Alliance Siraji Juma ilimlazimu kubadili jezi na kachukua nafasi ya mlinda mlango John Mwanda.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wapelekwe kamati ya nidham hao ndo wanafanya soka lakibongo linayumba

procyperangolwisye
Автор

Wachezaji nidhamu hawana wanaingia washavuta bangi

omaniallybakari
Автор

Mnasema mnawafundisha mpira darasani ndio huu sasa

bernardchibwana
Автор

Alliance kumbe ni timu ya wahuni nimewadharau sana.

reubenbusanji
Автор

This is too much, , hawa wachezaji wafungiwe kucheza soka kabisa

Maana si vitendo vya kiungwana

eliazarinyakiema
Автор

Wow raha sana hebu tuwekeeni dakika nyingi tujionee 😊😊mambo jamni ila wengine wanaudhi

isunga
Автор

King msukuma tatizo ni lako hapo, unasema bangi haina madhara unaona sas!!!!

jumasaimontanganye
Автор

Duuuh Hadi ninaeaonea huruma alliance jamani, ukute hao wachezaji ndio wamesajiriwa msimu huu

mutalemwagabriel
Автор

Yaan huyu kipa itabidi hasipokee mshahara miezi3

nashirkamugisha
Автор

TATIZO SIYO WACHEZAJI...ILA TFF WANACHANGIA MATOKEO HAYO.

mangalamngele
Автор

Yani sijui Allience walipatwa nn jaman, walipigwa kipapai nn

elizabethmahimbo
Автор

we Patrick ww minirafikiyako xana lakini ulivyofanya hapo duuuh

barakamlyomi
Автор

Alliance wamekuaje.. Duu sio uungwana kabisa

EvangelistNyamkina
Автор

Wachezaji wetu wengi hawajitambui, cjui ni

bonifacemsigwa
Автор

Ningekuwa kwenye bodi ya ligi, ningeifungia Alliance wasicheze ligi kuu.

jerumayamwasomola
Автор

Mpumbavu tu umefanya vzur kumpa kadi nyekundu

najmagudeh
Автор

Mchezo wakipumbavu kabisa wanacheza na mbeya city ni mafala kabisa.

nyarinkya