filmov
tv
Kadi mbili nyekundu kwa Alliance beki akigeuka kipa: Alliance 0-0 Mbeya City (VPL - 31/10/2019)
Показать описание
Ligi Kuu Soka Tanzania Bara imeendelea leo kwa michezo miwili kuchezwa jijini Mwanza ambapo kwenye dimba la Nyamagana mwenyeji Alliance FC amelazimishwa suluhu na timu ya kizazi kipya Mbeya City kwenye mchezo uliokuwa na ushindani Mkubwa.
Mchezo huo ambao timu zote zilionesha nia na dhamira ya kupata ushindi ulikuwa na purukushani za hapa na pale uwanjani hali iliyopelekea wachezaji wawili wa Alliance kupata kadi nyekundu ambao ni Israel Patrick na mlinda mlango John Mwanda.
Baada ya mlinda mlango wa Aliance kutolewa kwa kadi nyekundu beki wa kushoto wa Alliance Siraji Juma ilimlazimu kubadili jezi na kachukua nafasi ya mlinda mlango John Mwanda.
Mchezo huo ambao timu zote zilionesha nia na dhamira ya kupata ushindi ulikuwa na purukushani za hapa na pale uwanjani hali iliyopelekea wachezaji wawili wa Alliance kupata kadi nyekundu ambao ni Israel Patrick na mlinda mlango John Mwanda.
Baada ya mlinda mlango wa Aliance kutolewa kwa kadi nyekundu beki wa kushoto wa Alliance Siraji Juma ilimlazimu kubadili jezi na kachukua nafasi ya mlinda mlango John Mwanda.
Kadi mbili nyekundu kwa Alliance beki akigeuka kipa: Alliance 0-0 Mbeya City (VPL - 31/10/2019)
Kadi nyekundu ya Mchezaji wa Prison Atolewa na Ulinzi mkali mashabiki wa Simba watia Cheche
Simba na Coastal Union zatoka 0-0 Mkwakwani, Wawa alambwa kadi nyekundu - Highlights 23/07/2020
CHIRWA ALIVYOMSABABISHIA GOLIKIPA KADI NYEKUNDU KIPA YANGA VS NJOMBE MJI
ITAZAME KADI NYEKUNDU YA CHIRWA,JE NI HALALI HII AU KAONEWA?
HII HAPA KADI NYEKUNDU KWA SAIDI NTIBAZONKIZA, GEITA GOLD DHIDI YA MTIBWA SUGAR
Huyu ndiye Referee anayeshikilia rekodi ya kutoa kadi nyekundu 36 kwenye mchezo mmoja wa mpira miguu
Magoli, penati na kadi nyekundu: Mbao FC 1-2 Mbeya City (VPL - 28/10/2019)
MAGOLI YOTE NA KADI NYEKUNDU; MWADUI FC 1-3 SIMBA SC (TPL - 23/09/2018)
Refa Anusurika Kichapo Kisa Kutoa Kadi Nyekundu!
MAGOLI NA KADI NYEKUNDU: YANGA SC 1-2 PYRAMIDS FC (CAF CC - 27/10/2019)
ALLIANCE FC 0-0 MBEYA CITY: FULL HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (VPL - 31/10/2019)
KIPA WA MBEYA CITY ALIVYOPEWA KADI KWA KUCHELEWESHA MPIRA DHIDI YA YANGA SC
KIPA WA ALLIANCE AKIRI CLEATUS CHAMA SIO WA NCHI HII
Alliance FC 2-2 Ndanda SC - Tazama magoli yote; VPL 23/07/2020
Wababe wa Mwanza Alliance FC na Mbao FC wakabana koo na kutoka sare ya 1-1; Tazama magoli
KIPYENGA CHA MWISHO - SEPTEMBA 27 2018: Penati na kadi nyekundu msimu huu ziko sahihi?
Tanzania Prisons 1-0 Alliance FC - Highlights
Ubabe Ulivyowaponza JKT Tanzania, Kadi Nyekundu 'RED CARD'
JONAS MKUDE Awaomba RADHI WATANZANIA kwa ALICHOKIFANYA Jana kwenye MECHI ya TANZANIA vs BURUNDI...
MAGOLI | ALLIANCE FC 2-1 KMC FC (VPL - 22/11/2019)
Derby ya Mwanza, Alliance FC vs Mbao FC ilivyomalizika kwa sare ya 1-1 (Highlights)
Magoli yote ya Mbeya City ikiichapa Alliance 2-0 Sokoine, Mbeya (TPL - 16/09/2018)
Full Video : Magoli yote ya Mechi ya Simba VS Yanga Ligi Kuu ya Vodacom
Комментарии