Kampuni ya TALA inayotoa mikopo Mtandaoni yafungwa nchini Tanzania

preview_player
Показать описание
Usisahau ku subscribe pamoja na kushare
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

😂😂😂😂😂 aisee hela yangu imepona kweli Mungu ananipenda😅

rhodasimon
Автор

Yan wamenitapel 39000 dah Yan ci watu wazul matapel

ThomasMokeha
Автор

Mwenzenu m nataka kulipia sahv nkasema ngoja niwagoogle nakutana na hawa kwahiyo nisitume natapeli kweli?

AgnesRugoye
Автор

Jaman kumbe na mi ningeliwa tena nilikua nataka kutoa liba 143000 kwa mkopo wa milion 1 nimeshituka kwanza nimeona nifatilie kwanza

linahjoseph
Автор

Tala sio waiting wala matapeli Ila kuna watu ndio wa natumia vibaya jina kama wamelitumia jina LA joketi we ni nani

tamirhabibi
Автор

Namimi leo wamenipata ila nmewah nme, uia muamala na pesa yangu nimeipata

mohammdsaid
Автор

Alafu Maulid wa Kitenge anahamasisha utapeli. Akienda Macca kuhiji Mungu amwangalie

agnessangawe
Автор

Nimekopa asa hv wamenitapel hela yangu

NubyFadhili
Автор

Acheni utapel nyny yaan nawaroga lasivyo mniludishie pesa yangu

abuuabdillahtv
Автор

Naomba kufahamu media kwasasa mwaka huu 2025 hii je Tala imerudi au bhado katika kutoa mikopo

JoaBinAlly
Автор

Hawa ni washenzi wakubwa sana mijizi mikubwa mungu atawahukumu wote

dullaabri
Автор

MLINIZIKA SHS 120000 MWAKA JANA. NAOMBA MNIRUDISHIE

agnessangawe
Автор

Nyie ni wez kma wezi wengine mwisho wenu ni moto

fatimahambal
Автор

Hawa ni matapeli jamani Mimi wamenitapeli nimelia Sana, na walaaniwe

laurenciazacharia
Автор

Inauma sana hawa watu walikua poa sana!

richardboaz-mashagospel
Автор

Haraf mi nime taka kulipia mbona wanadema mikipo bado Ina tolewa kama kawaida

smartervoiceofficial
visit shbcf.ru