filmov
tv
MVUA YALETA MAAFA BINTI WA MIAKA 16 APOTEZA MAISHA

Показать описание
Binti wa Mwenye umri unaokadiriwa kuwa ni miaka 16 -19 ambaye hajafamika Jina wala makazi amefariki dunia kwa kusombwa na Maji b aada ya Mvua kubwa kunyesha katika Halmasghauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga na kusababisha Nyumba kujaa Maji baada ya Mitaro ya barabara kubomoka.
CloudsDigital imezungumza kwanjia ya Simu na Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga SACP Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuwataka Wananchi kuchukua tahadhari kipindi hiki cha mvua kubwa huku Mboni Mhita Mkuu wa wilaya ya Kahama Anamringi Macha akitoa kauli ya Serikali.
CloudsDigital imezungumza kwanjia ya Simu na Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga SACP Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuwataka Wananchi kuchukua tahadhari kipindi hiki cha mvua kubwa huku Mboni Mhita Mkuu wa wilaya ya Kahama Anamringi Macha akitoa kauli ya Serikali.