HEMEDY Sijampost DIAMOND ye Hakuni Post Namkubali ALIKIBA, Ndo Tumeanzisha Mziki BONGO, napiga Show

preview_player
Показать описание
#BINGOexclusive #HemedyPHD
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Waliekuja kwa sababu ya king kiba gonga like hapa tujuwane, Mimi Team kiba kutoka mozambique

Xavierdecristo
Автор

Nimekuja hapa kwasabab ya Kiba tu #KINGKIBA

hightechofficial
Автор

Yeebaba kaka subiria mapovu ya wachafu wa roho 😁😁

hidayaking
Автор

The first Kenyan to comment gud job Ahemed

mishitenga
Автор

@ P.H.D sasa Vipuli vyanini eeeeh🤕🤕Bora salamaa

mkasijuma
Автор

Michango ya BONGO FLEVA ni mingi Sana ht Mond kafanya usipotoa support ww Kuna zaidi ya Watu 10 kutoka nchi moja wapo ya EAST AFRICA wanamuelewa Sana Mwamba BIN LADEN 🦁🦁

selemankipoto
Автор

Jamaaa sauti yako inakutaka ufanye mtindo wa tofauti kidogo na hawa akina kibautatoboa zaidi kimusic ikiwa utaimba miondoko ya dancal

yohanaikaya
Автор

kuhus diamond 8:10 save mb zako kiivo..

winfredkisigo
Автор

Nimecheka Sana kusikiya Bukavu na Goma 😂😂

azmaaimerance
Автор

Hakuna msanii wa Tz ambae alikutwa ktk game na mond alafu ampende!.kwa kuwa yeye mond amefanikiwa kwa muda mdogo tofauti na wao hvyo Ni lazma wasiwe na mapenz nae awe anatoa saport ama lah!!.

selemanichiga
Автор

Mtagazaji umenifurahisha hapo mwisho et unaitwa nani hahahaa umemuuliza kwamakusudi

ratifamzima
Автор

Fresh sana kushindana kawaida Bora tu c chuki

otwonamakosh
Автор

Daimondi anasapotiwa na watu wa kawaida sio nyie mkuhani mi.wa hari ya chini siwezi kukusapoti maana sioni mchango wako kwa jamii diamondi alikiba jeshi wanajitoa kwa watu sana

stansilauseliasi
Автор

Jamaa anafanya vzur sana na anaongea Point sana jamaa yaan daaah

johpesa_the_money
Автор

Yuki vizuri, maisha niyake maamuz ni yake

alexchilongola
Автор

Afadhali tusengenywe lakini kuwoa hatuwoi hatuwogopi uchawi twaogopa ukimwi😅😅

ahmedaliahmedahmed
Автор

Huyu nae mfyuuuu!! Ushambaaa simba baba lao

happymushi