UKIZIONA ISHARA HIZI 7 UJUE MUNGU ANAZUNGUMZA NA WEWE

preview_player
Показать описание
Ni matumaini yangu umebarikiwa Sana na Mafundisho yetu Tafadhali Naomba u share ujumbe huu Kwa Watu wengine na MUNGU Wa Mbinguni Akubariki Sana Tunakupenda
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Eeh Mungu wangu nakushukuru kwa kunifunza tena, ubarikiwe mtu wa Mungu ❤

MwaminiSifa-eg
Автор

Eeh mwenyezi mungu naomba unifundishe jinsi ya kuomba jinsi ya kusoma neno jinsi ya kukaa kwa neno lako bila kukata tamaa uniondolee misukosuko unipe amani ya moyo wangu nifundishe mambo mengi kukuhusu eeh mwenyezi mungu nirehemu unijalie hekima na maarifa nifundishe Kuomba na kufafanua kitabu takatifu amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲

GentrixBarasa-cx
Автор

Asante Mungu kwa maisha unayonipa bila kulipa chochote thank you Jesus. Nifundishe jinzi ni nitaishi na hekima na heshima ooh Jehovah nirindie family yangu

princesfaith
Автор

Amen, ewe Mungu wangu naomba uongee nami, naomba niwe mmoja wapo wa waja wako wema uliowachagua. nioneshe ishara yako Mungu wangu. 12.12.24.

siryklyubov
Автор

Amen mtumishi Hali ya kukosa usingizi huwa inanipata sana na Hali ya kukosa amani ghafla

JaphetJulias-ve
Автор

Amen mtumishi je ikiwa nahisi wimbo flani ukiimba ndani yangu mara kwa mara hii nayo inakuwa nini

JaphetJulias-ve
Автор

Ongenreni sana kwamafundisho nimwimbaji wanyimbo zainjili abedi Kabika.

ABEDYFamilyband
Автор

Asante sana kwa mafundisho mungu awabariki sana na awapatie nguvu yakutufundisha

MausaRene
Автор

Nashukuru mungu wetu kwa yote amenifaya, namuomba mungu anisaidiye maishani mwangu

KasondeRobert-dd
Автор

🙏🙏🙏🙏🙏ahsante kwa ufunuo wako mungu akubaliki akufunguriye mirangi yabaraka nasisi mungu andereye kuongeasisi .emungu naomba unipe mwishomwema na kizazichangu

JeanneNahimana-dhhr
Автор

Mungu nisaidiye nikujewe wewe nikuabudi wewe nikushukili wewe nipate kufika mbiguni amina

TecraSalum
Автор

Mungu asante Kua knipa uhai bure maana angekua binadamu sjui ningekua wpi Mimi asante sana mungu.pia naomba unifundishe kuelewa wkati unahitaji kuongea nmi eeee.mungu usiniache yaulimwengu inimalize mwenyezi Mungu pia nkumbatie Kua Yote nayo pitia Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏

ZainabcassimShimuli-qq
Автор

Mungu nataka kuwa karibu na wew naomb usiniache EE Bwana endelea kuniongoza nikawez kuwa karibu na wew

MariamKanagana
Автор

Amina asante sana kwa hayo mafundisho juu ya wakati mungu anataka kuzungimza na si

juliahkamau
Автор

Ee mungu nisaidie nijuwe kuomba vizuri pia nilichike neno lako amenv🙏🙏🙏

EttoMakano
Автор

Tatizo nililoliona hapa kwa watoa comment ni namna mnaliandika neno "Mungu" naona wengi mnaandika "mungu"!!!
Naomba msitumie herufi ndogo wapendwa maana hata jina la mwanadamu tu ni makosa kuliandika kwa herufi ndogo zote, vipi kuhusu huyu muumbaji wa vyote?
Naombeni tutumie "Mungu" au "MUNGU " badala ya "mungu"
Ubarikiwe

paulongusa
Автор

Asande sana kwakunifunza nisioyanjua nimenjua Leo mungu uwa ananisungumuzianga kwanjia tofauti, Amina

estherkavutha
Автор

Natamani sana kuokoka ila sijui nanziq wapi

BabyLiam-pq
Автор

Amen, mtumishi hiyo Hali huwa inanipata mara kwa mara, asante kunifumbua akili yangu

silviaamos-pllk
Автор

Amen.Namshukuru Mungu kwa kunihudumia kupitia madhabahu hii

silviawillilo
visit shbcf.ru