Hizi hapa Simu 5 bora zenye bei chini ya Laki 3!

preview_player
Показать описание
Wengi wetu tunapenda simu nzuri lakini kutokana na aina ya soko simu moja unaweza kuipata kwa bei mbali mbali hazina bei moja maalumu… Hivyo watu wengi hapa huumizwa kwa kuuziwa simu zisizo na uwezo mkubwa kwa bei ghali sana! Kwasababu tu hawazifahamu.

Leo nimekuandalia list ya simu nzuri zenye uwezo mkubwa (High-end na Middle high) unazoweza kuzipata kwa bei ya chini kabisa,
(Tsh 150,000 mpaka 300,000)

Fuatilia video hii kufahamu simu hizo,sifa zake na bei zake!

Possible keywords
• Simu za bei ndogo
• Simu bora kwa bei nafuu
. Samsung, iPhone, Tecno, Sonny, infinix, oppo kwa bei ndogo
#kiswahili #simu #kariakoo #Ai #Yanga #millardayo #iphone #samsung #tecno #infinix
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mimi nahitaji hiyo iphone x unapatikana wap

official_didy
Автор

Kioo cha iphone 7 plus kubadili sh ngap msaada jamani simu yangu nmeangusha jana tu na sikuweka protector

LatifaCharles
Автор

Hellow me nahitaji iphone yenye ubora zaidi

WamburaMwita
Автор

Naweza kupata protector na stend ya cm aina ya kishikwambi company ya About tablet T1001 (Tekno)

DavidMabubi
Автор

Kaka mm naitaka hyo oppo a83.
naona naweza kuinunua.

EdgarJohnny-gogd
Автор

Naomba majina ya simu unazo uza na bei zake

MariamLuandaShabani
Автор

mimi nataka iphone 13 pro max unapatikana wapi na ni bei gani

peninajohn
Автор

Labda used lakini mpya unadanganya kaka 2

DatiusMathayo
visit shbcf.ru