Goodluck Gozbert | Nimesamehe | Official Video

preview_player
Показать описание

Follow Goodluck Gozbert

Song: Nimesamehe | Artist: Goodluck Gozbert
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hu wimbo unasema maisha yangu kabisa nilipo kuwa sina ila nilipo pata wanitafuta ila #nimesamehe

labellepascaline
Автор

Mungu naomb nitoe kwenyw hili jaribu jmn nateseka mm mwwnyw sitowezaa i think am loosing myself nakuomba Mungu unipe aman yko ili niweze kusamehe mmbo yote

noelamericho
Автор

Vijana wachache sana kama wewe wamemuishia it up mungu aendelee kukuweka juu

costlily
Автор

Wimbo umenitoa sana nilipokuwa nimekwama japo nililia sana. Mungu akushindie kila hatua zako

maimunafundi
Автор

Barikiwa sana... nasi waimbaji wenziyo hapa tuko nyuma, mtukumbuke kwa maombi... barikiwa sana. by Producer Magnifique.

magnifiquendayisaba
Автор

Thnx Kwa nyimbo nzuri nataman na mim kuimba ila sijui nianzie wapi kwan napenda sana kuimba nyimbo za dini

oliverthomas
Автор

Nimesamehe ili nisamehewe is very nice song my dear brother ubarikie sana kwa kazi zako zina ujumbe mzuri kwa jamii

maryjoseph
Автор

3yrs back I used to listen this song like 10 times a day 🎶 while I was nursing my heart ❤ after a terrible hearbreak 💔 I thank God cz it helped me to know forgiveness is the key though it wasn't easy

cecylee
Автор

goodluck kiboko ya stress napenda san uimbaj wake nkisikilz nyimbo zake nafarijik san nyimbo nying znagusa maisha yang mpaka muda huu

ramboramadhani
Автор

Yan huu wimbo nikickiliza nakuwa na amani hata kama nina hasira kias gani na wapo wengi niliokosana nao nakuapa cta wasamehewe katu ila kwa huu wimbo nimewasemehe japokuwa cko krb nao ila moyo wng mweupe na umefunguka kwajili yao kifup nyimbo zako zote zinanifanya nickate Tamaa nakumtumainia bwana kwakwel ubarikiwe sana brother

lucywilibroad
Автор

Wazazi au ndugu rafiki mpenz wanaweza kuumiza moyo wako😭😭😭najua nina maumivu ya moyo #nimesamehe

lucyjohn
Автор

Hata nisiposamehe...hawawezi jifunza...Sio wote wataomba msamaha....Sijui nitunze vya nini?
Naupenda huu wimbo wake ni mzito sana

scolahsmiley
Автор

napenda sana wimbo huu.nimesamee baki na amani, nimesame ili nisameewe, wala co. kwa ajili ya mtu wala co kwa ajili ya dunia.ila kwa moyo wangu na amani ya kesho.Ameeen Goodlucky

abdrahmanmbaruk
Автор

daah barikiwa kaka kwa wimbo mzurii, nimewasamehe wote walinikosea hata kama hawataniomba msamaha..

perpetualjohn
Автор

Tunao mkubali goodluck anatukumbushya kwamba Mungu yupo.gonga like

IbrahSalum-okxl
Автор

Amen nabarikiwa sanaa mtumishi wa MUNGU kwan ndugu marafki na jamaa wananisemaa na nilikuwa ninesha apa kwa MUNGU KUWA STA KAA NIWASAMEHEE ILAA KUANZIA LEO MOYO WANGU UNA AMAN NA POPOTE WALIPO WAWEE TU NA AMAN

veronicamdeke
Автор

You really something am Muslim but i cnt sty without listen yo songs... T such a bless may Almyt grants u millions n millions v succes.. Yo the bst...

teurishnash
Автор

Tarehe tangu jana bikama masaha ma inne nasikiliza wimbo huu natafakari naomba Mungu anisaidie, macho imevimva kwa kulia ubarikiwe kijana wa Mungu kwa kuuvunja moyo wangu kama mtoto mdogo nahitaji kusamehe na nisamehwe, nahitaji kupotea Yesu aonekanne maishani mwangu.

esperancenahimana
Автор

kusamehe ni kitu muhimu iwapo unahitaji furaha ya moyo bless me God my God protect us

funsupadatestourists
Автор

Marafiki wengi huja ukiwa nazo zikiondoka hautowaona tena . Natafakari wanadamu tunamioyo gani. Hatuna huruma. Very impressive song. Make me feel gud with my heart all the tyme. Bcoz of forgiveness with each others. Samehe saba mara sabiini.cuz This world is not our Hom. NIMESAMEHE.

charlieadam
welcome to shbcf.ru