filmov
tv
Waathiriwa wa machafuko ya Ngorongoro wakimbilia Narok

Показать описание
Manusuru wa mchafuko katika hifadhi ya wanyama pori ya Ngorongoro nchini Tanzania wanaendelea kuwasili nchini Kenya kupokea matibabu ya dharura katika zahanati tofauti.
Baadhi ya manusura hao wanauguza majeraha ya risasi mgongoni. wanadai kuwa walivamiwa na askari waliojihami pamoja wakiwa malishoni. wanadai kurushiwa vitoa machozi na risasi kufyatuliwa baada ya kuuliza ni kwanini polisi waliwavamia. mashirika ya kutetea haki za kibinadamu yamekashifu kisa hicho.
Baadhi ya manusura hao wanauguza majeraha ya risasi mgongoni. wanadai kuwa walivamiwa na askari waliojihami pamoja wakiwa malishoni. wanadai kurushiwa vitoa machozi na risasi kufyatuliwa baada ya kuuliza ni kwanini polisi waliwavamia. mashirika ya kutetea haki za kibinadamu yamekashifu kisa hicho.
Комментарии