Waathiriwa wa machafuko ya Ngorongoro wakimbilia Narok

preview_player
Показать описание
Manusuru wa mchafuko katika hifadhi ya wanyama pori ya Ngorongoro nchini Tanzania wanaendelea kuwasili nchini Kenya kupokea matibabu ya dharura katika zahanati tofauti.
Baadhi ya manusura hao wanauguza majeraha ya risasi mgongoni. wanadai kuwa walivamiwa na askari waliojihami pamoja wakiwa malishoni. wanadai kurushiwa vitoa machozi na risasi kufyatuliwa baada ya kuuliza ni kwanini polisi waliwavamia. mashirika ya kutetea haki za kibinadamu yamekashifu kisa hicho.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Serikali yetu ipo vizuri Sana kumbe mmejaa wakenya kihuni ngorongoro!!? Na mnaanzisha mgogoro ndani ya nchi yetu na Kama ni wamasai wa Tanzania kwanini mnalalamika mkiwa Kenya mbona sio TZ harafu mnajidai wamasai acheni ujinga wenu .

ambakisyemwanjemba
Автор

Hamieni na nyinyi handeni jamaan mtufundishe kiingereza wamasai wenzenu acheni kulalamika ukifuatilia hii taarifa utagundua loriondo ilikuwa ardhi ndani ya kenya.bora serikali imeshituka na huyo bosi wa uhamiaji anapaswa kutumbuliwa Mara moja

ambakisyemwanjemba
Автор

Ng'ombe zote zipelekwe handeni ndio mtajua nchi ilivamiwa hii.

ambakisyemwanjemba
Автор

Wamasai wa TZ sisi tunaongea kiswahili Cha kimasai mbona kiingereza kingi hivyo uhamiaji ndio mmetufikisha hapa hamtimizi majukumu yenu vizuri kwanini?

ambakisyemwanjemba
Автор

Kenya ni wanafiki sana ndo Wanachochea vurugu kwa maslahi yao

henryndosi
Автор

Wamasai wa ngorongoro lugha ya taifa lao ni kiswahili sio kisungu

chachamaheri
Автор

Tuachieni Tanzania yetu acheni ujinga nyie

ambakisyemwanjemba
Автор

Kumbe loliondo mlijaa wakenya naona sasa sindano imeingia ktk mfupa mlikua mnaishi kihuni na kutuharibia mbuga yetu

kitonikitoni
welcome to shbcf.ru