Harusi ya Kupendeza- Harusi Yetu | Maisha Magic Bongo

preview_player
Показать описание
#HarusiYetuTZ , Nesia na Emmanuel –wawili hawa walikutana kazini.
Nesia alikuwa na mahusiano lakini mpenzi wake alikuwa mbali, Kwa haraka Emmanuel akajaza hilo pengo. Je aliachanaje na mpenzi wake? Harusi yao ilipendeza sana kuanzia mavazi vyakula maharusi wetu wetu nyuso zao zilijawa na furaha isiyo kifani , heko kwenu mr &mrs Emmanuel, tukutane tena kila alhamisi saa 1 usiku kupitia DStv160 pekee!

---

Endelea kutizama DStv chaneli 160

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Mlianza harusi na Mungu mnamaliza na mambo ya Ajabu bi harusi kanisani hakuvaa heren ukumbini kavaa ni Waadventisa kweli au ? Kwa jinsi ninavyo wafaham Wasabato . Sijaamini

loyceackim
Автор

Ukitaka haya yote unafanya je Fanya je???

shbzyneem
welcome to shbcf.ru