MAMBO MAZITO SAKATA la NDOA ya NABII MALISA na MKEWE LISA - MCHUGAJI wa KARIBU APASUA JIPU...
Комментарии
my daddy Mungu azidi kukutumia zaidi kwa jumbe zako nzuri hakika Bwana Yesu yupo ndani yako
Temboni
Katika watumishi wa mungu ninaowakubali na kuwaombea sana Moja ni IPM maana ni mengi navuna kwake na ninafanikiwaga nayo sana, be blessed PROPHET
moseskmbusi
IP MAN 😂😂😂 nakubali way back ujana ulikua watisha sana mzee
kizazisanagang
Cku za mwisho, maovu yataaongezeka, kwa hiyo ukimuona mtu ana maisha mazuri, makubwa muache Kama alivyo, Na umshukuru Mungu kwa kile ulichonacho!
MichaelMagige
Mungu alibariki mtumishi wa Mungu kwa kituabalisha yaliofichika🙏
rukizaseba
Unamjua stereo dah bonge Moja la msanii mwenye akil nyung sana tz
ashuramuhammed
Alhamdulillah yaani tukurudi nyumbani na ndevu na kofia watu watatuheshimu na vijana wakirudi na herini masikio yote mawili na amesuka na yupo na vikuku suruali nusu matako watu watakuona maskini ameharibikiwa Allah atuongoze
sulaimansalim
Ukiona mtu anapenda hip hop ujue anajielewa na ana upeo mkubwa sana... salute sana yaani... tunaishi duniani sio mbinguni
emmanuelpius
Hujakosea prophet, hzo ngoma zote za kiume, salute
LuckSeven-is
Kiukweli roma yupo vizuri sana nyimbo zake sina ujumbe mzuri sio kina diamond anatukana tu ndio maana katolewa marinda na p didy
chandeyusufu
Huyu Prophet anajua ngoma za kuskiliza, tuko pamoja Prophet huo ni Conscious Music
MILLY-TEC
Shalom mtumishi wa Bwana Mimi nimeona hutumishi wakweli haukui kama watumishi waungo tuzichunguze sikila Roho zinatokana na Mungu nakusapot❤
giftgift-gx
Jamaa anafanana n J plus sana
Message nzurii kwa jamiii
rogatusmeleki
Na kweli wengi wao ni waongo wanapenda music ya bongo flavor na wanashabia mpira sana wakt sisi wanatuambia ni dhambi daah
ernestwandona
Baba nakuaminia eleza ukweli .ubarikiwe ktk jina la Yesu
juliussamwel
IPM anafanana na ROMA sana na mimi nampenda sana Roma na IPM
MtanganyikaTanganyika
Nguvu za shetani zina mipaka, ila Mungu hazina mipaka, Mungu ana nguvu kuliko shetani, na shetani ana kiri katika Ayubu moja.Ana nguvu kwako kama ukimchagua, kama huja mchagua hana nguvu, ndo maana hata hao masons lazima wakuingize kwa kanuni zao kwanza.Mwanadamu kapewa uhuru amchague anayetaka mtumikia.Kama ana nguvu kwa nini anaenda motoni?nguvu zake zina mipaka na ni lazima umchague kwanza.Au Mungu amruhusu.Shida umemchagua nani?Ukiwa umefuga mbuzi 200 na wewe ni komando unajua sana lenga shabaha na una bunduki nyingi ukamwona simba anakuja kamata mbuzi wako utamwacha?Ndivyo ulinzi wa Mungu kwa mwanadamu.ulivyo