PROPHET IPM AMWAGA UCHAFU WOTE WA DIDDY/ VIJANA ACHENI TAMAA

preview_player
Показать описание
PROPHET IPM AMWAGA UCHAFU WOTE WA DIDDY/ VIJANA ACHENI TAMAA
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

my daddy Mungu azidi kukutumia zaidi kwa jumbe zako nzuri hakika Bwana Yesu yupo ndani yako

Temboni
Автор

Katika watumishi wa mungu ninaowakubali na kuwaombea sana Moja ni IPM maana ni mengi navuna kwake na ninafanikiwaga nayo sana, be blessed PROPHET

moseskmbusi
Автор

IP MAN 😂😂😂 nakubali way back ujana ulikua watisha sana mzee

kizazisanagang
Автор

Cku za mwisho, maovu yataaongezeka, kwa hiyo ukimuona mtu ana maisha mazuri, makubwa muache Kama alivyo, Na umshukuru Mungu kwa kile ulichonacho!

MichaelMagige
Автор

Mungu alibariki mtumishi wa Mungu kwa kituabalisha yaliofichika🙏

rukizaseba
Автор

Unamjua stereo dah bonge Moja la msanii mwenye akil nyung sana tz

ashuramuhammed
Автор

Alhamdulillah yaani tukurudi nyumbani na ndevu na kofia watu watatuheshimu na vijana wakirudi na herini masikio yote mawili na amesuka na yupo na vikuku suruali nusu matako watu watakuona maskini ameharibikiwa Allah atuongoze

sulaimansalim
Автор

Ukiona mtu anapenda hip hop ujue anajielewa na ana upeo mkubwa sana... salute sana yaani... tunaishi duniani sio mbinguni

emmanuelpius
Автор

Hujakosea prophet, hzo ngoma zote za kiume, salute

LuckSeven-is
Автор

Kiukweli roma yupo vizuri sana nyimbo zake sina ujumbe mzuri sio kina diamond anatukana tu ndio maana katolewa marinda na p didy

chandeyusufu
Автор

Huyu Prophet anajua ngoma za kuskiliza, tuko pamoja Prophet huo ni Conscious Music

MILLY-TEC
Автор

Shalom mtumishi wa Bwana Mimi nimeona hutumishi wakweli haukui kama watumishi waungo tuzichunguze sikila Roho zinatokana na Mungu nakusapot❤

giftgift-gx
Автор

Jamaa anafanana n J plus sana

Message nzurii kwa jamiii

rogatusmeleki
Автор

Na kweli wengi wao ni waongo wanapenda music ya bongo flavor na wanashabia mpira sana wakt sisi wanatuambia ni dhambi daah

ernestwandona
Автор

Baba nakuaminia eleza ukweli .ubarikiwe ktk jina la Yesu

juliussamwel
Автор

IPM anafanana na ROMA sana na mimi nampenda sana Roma na IPM

MtanganyikaTanganyika
Автор

Nguvu za shetani zina mipaka, ila Mungu hazina mipaka, Mungu ana nguvu kuliko shetani, na shetani ana kiri katika Ayubu moja.Ana nguvu kwako kama ukimchagua, kama huja mchagua hana nguvu, ndo maana hata hao masons lazima wakuingize kwa kanuni zao kwanza.Mwanadamu kapewa uhuru amchague anayetaka mtumikia.Kama ana nguvu kwa nini anaenda motoni?nguvu zake zina mipaka na ni lazima umchague kwanza.Au Mungu amruhusu.Shida umemchagua nani?Ukiwa umefuga mbuzi 200 na wewe ni komando unajua sana lenga shabaha na una bunduki nyingi ukamwona simba anakuja kamata mbuzi wako utamwacha?Ndivyo ulinzi wa Mungu kwa mwanadamu.ulivyo

jeanmusamba
Автор

Napenda kuyakubali manenoyako, manawewe nimtu unaependa kusema uhalisia wamambo, shetanikweli ananguvu, nasasa tamaa zimezid nandomana kashikahapo, Diomond ameshatangaza utajiri mkubwaa alimaanisha hilojambolake, kua alishaambiwa nakwavile alishatenda jambolake, P Tanzania wapo😢😢😢

maryamsuleiman
Автор

Mtumishi nice point ata jomakini anamkwepa p didy

EmmanuelLekasango-rtqx
Автор

Prophet. IPM anajua vitu vingi sana kuhusu haya mambo ni kweli kabisa

abdulsimbarakiye
welcome to shbcf.ru