Aslay afunguka ishu ya kuiba daftari la nyimbo la Yamoto Band

preview_player
Показать описание
Msanii wa muziki, Aslay Isihaka amefunguka kuzungumzia tetesi ambazo zilisambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba ameiba daftari la nyimbo la Yamoto Band. Muimbaji huyo amesema hakuna kitu kama hicho huku akidai baadhi ya mashabiki katika mitandao ya kijamii ndio walioanzisha kitu hicho.
Рекомендации по теме
visit shbcf.ru