Sirro Asisitiza Denti wa UDSM Aliyeuawa na Polisi ni Jambazi!

preview_player
Показать описание
Kamishna wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro, amesema mwanafunzi wa UCC iliyochini ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam aliyeuawa kwa kupigwa risasi na polisi, alikuwa ni jambazi.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limetolea ufafanuzi malalamiko yaliyotolewa na ndugu za kijana huyo aliyeuliwa na jeshi hilo wiki moja iliyopita akidaiwa kujaribu kumpora askari silaha.
Kamishna Simon Sirro amewataka ndugu wa marehemu huyo wakatembelee eneo la tukio kusikia wananchi wanasema nini kuhusiana na kitendo cha kijana huyo ambaye aliuawa na polisi baada ya wenzake kukimbia kusiko julikana.
Amesema katika eneo la tukio palikuwa gari la kubebea fedha lililokuwa likisambaza fedha katika mashine za ATM za CRDB kiasi cha Tsh. 320, 000,00 ambapo mtuhumiwa huyo kwa kushirikiana na wenzake alidaiwa kutaka kufanya tukio la uvamizi katika gari hilo, kabla ya askari kumuwahi na kumuua.
Tangu kutokea kwa tukio hilo, ndugu wa marehemu huyo wamegoma kuchukua mwili wake kwa ajili ya maziko wakidai kuwa ndugu yao ambaye pia alikuwa ni mwanafunzi wa UDSM hakuwa muhalifu, huku wakitaka jeshi hilo liombe radhi kwa kudai kuwa ndugu yao alikuwa mhalifu.
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Silaha aliyokuwa nayo iko wapi hadi akizi vigezo vya kuwa jambazi???

geja
Автор

ina pain sana, jambazi anashadia?? kama vijana wako wamekosea kwa nini usiombe radhi familia yakaisha? mnalazimisha watu kuamini kwa nini? Damu ya kijana wa watu itawalilia Mungu ndiye hakimu.Poleni familia

athonyfrancis
Автор

mwogope mungu siro. sura yenyewe inakusuta.

babuubrown
Автор

Haki??haki?? Haki?? Haki ipo kwa mungu tu Hapo kaka hukutenda haki hapo

mkwechemedy
Автор

yatawakuta inshaallah kama muliyo mfanyia kijana wetu kamatadiinu tudaani

abdulmalickupete
Автор

kwani uhalifu wake uko wapi tunaomba ufafanue vizur je nakama ni mharifu alifanya uhalifu gani mpaka ifikie hatua ya kumuua??

oscarmazeze
Автор

Naishauri iyo familia fanyeni juu chini na hao wafe walomuua ata kwa mganga nendeni labda alikua mpita Kia je alikua anamtaja mungu pumbavu ww

alialbusaidi
Автор

So Igp unatuambia kazi ya polisi ni kutuhumu na kuua walishindwahe kumdhibiti mtu mmoja? na kwanini wasimpige risasi ya mguu achen cinema kuimba msamaha ni uungwana

ebenezerfreight
Автор

mnatenda haki wapi wapuuz nyie msyuuu mnajitia mnajua haki dhulma tup

halimalwayo
Автор

Siro anadhani ktk hii dunia ataishi milele

babually
Автор

mtakapo kuja kuanza kuuliwa nyinyi msihamaki

njengafilbert
Автор

Nimeamin utu uzima siyo tatizo unaweza kuwa mtu mzima ukashindwa kutumia busara maana kiongoz mwema hawez kuongea upuuz kama huo ama jina IGP ndo linakupa kibur

oscarmazeze
Автор

Police hawazingatii maadili ya kazi yao

mwanawetumwagora
Автор

kwahiyo kama mliuwawa hatukulia ndio mnalipiza sio.

immanuelswai
Автор

kwahy police anaruhusiwaaa kuuaa amaaa weweee

elizanormal
Автор

na mtaendelea kuuwawa kama njugu zinavyo tafanwa

hassanihussein
Автор

siro laanatulah nanakuombea mungu akuchukue mapema iliukaonje kitu ulichokipanda jahanam inakungoja

shuwehaharunaomariikwena
Автор

These days Tanzanians are very educated and they can understand which is which, upelelezi ndo utabaini ukweli mara upelezi ushafanyika, wale wachache watakao ingia kwenye uhalifu tutawagonga kwa mujibu wa sheria, je ni sheria gani inayo ruhusu kumuua mtu asiye na silaha na tayari alikuwa kashataitiwa na judo za askari akapiga chini?hivi ni jambazi gani ataenda kuiba mamilion ya pesa bila ya kuwa na silaha ilhali anajua zinalindwa ulinzi mkali, Rabbana afrigh alaina swabraw wathababit aqdamana wan surna alal qaumil kaafirin, amiin.

alhilalmadaraka
Автор

kusema allahu akbar ndio kunaonesha kuwa yeye mhalifu? polisi wameshindwa vipi kumdhibiti mtu hana silaha?ukiambiwa usimame na hukufanya hivyo unauwawa?

eddieross
Автор

Jikoshe, unafikiri namungu utakwenda kumdanganya?

asiakheir
visit shbcf.ru