filmov
tv
MAPYA YAIBUKA: KESI YA ALIYEIBA WATOTO, SHAHIDI MTOTO ALIZA WATU MAHAKAMANI..

Показать описание
MAPYA YAIBUKA: KESI YA ALIYEIBA WATOTO, SHAHIDI MTOTO ALIZA WATU MAHAKAMANI..
WANANCHI, Mashahidi na baadhi ya Maofisa waliokuwa ndani ya ukumbi wa Mahakama ya Wilaya ya Mbeya, wamejikuta wakimwaga machozi baada ya mtoto aliyeibwa kuingia ndani ya ukumbi huo kwa lengo la kutoa ushahidi kuanza kulia baada ya kumuona mtuhumiwa..
Hali hiyo imesababisha kesi hiyo ya wizi wa watoto kusimama kwa muda kupisha hali ya simanzi iliyokuwa imetawala ukumbi huo wa mahakama.
Kabla ya kuibuka vilio ndani ya Mahakama hiyo, Hakimu wa Wilaya, Zawadi Laizer alikuwa akiendelea kusikiliza kesi hiyo kama kawada ambapo ushahidi wa awali ulianza kutolewa na baba mzazi wa watoto hao ambao ni Faisal Mashaka (5) na Farhana Mashaka (2).
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ OUR PLAYLISTS:
WANANCHI, Mashahidi na baadhi ya Maofisa waliokuwa ndani ya ukumbi wa Mahakama ya Wilaya ya Mbeya, wamejikuta wakimwaga machozi baada ya mtoto aliyeibwa kuingia ndani ya ukumbi huo kwa lengo la kutoa ushahidi kuanza kulia baada ya kumuona mtuhumiwa..
Hali hiyo imesababisha kesi hiyo ya wizi wa watoto kusimama kwa muda kupisha hali ya simanzi iliyokuwa imetawala ukumbi huo wa mahakama.
Kabla ya kuibuka vilio ndani ya Mahakama hiyo, Hakimu wa Wilaya, Zawadi Laizer alikuwa akiendelea kusikiliza kesi hiyo kama kawada ambapo ushahidi wa awali ulianza kutolewa na baba mzazi wa watoto hao ambao ni Faisal Mashaka (5) na Farhana Mashaka (2).
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ OUR PLAYLISTS:
MAPYA YAIBUKA: KESI YA ALIYEIBA WATOTO, SHAHIDI MTOTO ALIZA WATU MAHAKAMANI..
Mapya mengine yaibuka leo baada ya house girl aliemchinja mtoto wa bosi waka kukamatwa
KESI YA PADRI MAHAKAMANI MOSHI 'MTOTO ALIENDA KUUNGAMA,AKANYANYULIWA MGUU AKAINGILIWA'
HILI NDIYO TUKIO LA KUTISHA LILOTOKEA MAGU MWANZA/KIJANA ALIYEFANYWA MSUKULE AONEKANA/DC AKASIRIKA
BAYO MTOTO WA MWANAJESHI,NA MGOGORO MZITO NA BABA YAKE BAADA YA KUUZA SHAMBA -PART 13
Mwanamke alia kama Mbuzi mahakamani wakati wa kutoa ushahidi kesi ya mauaji
BINTI ANAYETUHUMIWA KUMUUA MAMA YAKE MOSHI AKIWA NA WAGANGA ARUDISHWA TENA MAHAKAMANI
BINTI WA MIAKA 19 AIBA MTOTO NA KWENDA KUISHI NAE KWAKE, AMNYOA NYWELE ILI ABADILIKE...
KALI YA MWAKA! MWIZI ALIYEIBA KANISANI AOMBA MAHAKAMA NAFASI AKATUBU KWANZA, KABLA HAJAENDA JELA...
Washukiwa kwenye mauaji ya Okombe wafikishwa mahakamani
MPAKISTAN AIBUKA NA MAPYA |AMTAJA ZAHIR KWENYE HILI |WALIOMTAPELI MILLION 6 YAZUKA MAPYAA
JESHI LA POLISI ARUSHA LIMETOA UFAFANUZI JUU YA TAARIFA YA KIFO CHA MTUHUMIWA WA KOSA LA UNYANG&apos...
PART 1: 'MKE NA WATOTO WANGU 2 WAMEHUKUMIWA KUNYONGWA' - DAKTARI AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA...
OPERESHENI YA KUKAMATA WATU WANAOHARIBU MIUNDOMBINU YA TANESCO
mwanasheria msomi Zuchu tunasimama na wewe Ostaz mahakama itamhukumu hukumu yoyote niudharirishaji
BAYO: MTOTO WA MWANAJESHI ASIMULIA JINSI BABA YAKE ALIVYOENDA KWA MGANGA, KISA UWANJA | PART 15..
MLINZI AMUUA MKE WAKE, UKISIKIA CHANZO CHAKE UTASHANGAA, POLISI WAELEZEA A-Z...
UNYAMA! AMUUA MWENZAKE KIKATILI KISHA KUMZIKA, MASHUHUDA Waeleza..
MUNGU WANGU!! MUME ANAYEDAIWA NI MCHAWI AFUNGUKA MAMBO YA KUSHANGAZA NA KUONESHA UTAJIRI WAKE BALAA
BOSS ANAETUHUMIWA KUMUUA DADA WA KAZI AFIKISHWA MAHAKAMANI, POLISI WAFUKUZA WAANDISHI
ALICHOFANYA M/KITI WA HALMASHAURI BAADA YA MKEKA WA MA DC.
Police watatu mbaroni kwa tuhuma za rushwa Arusha
BAYO: MTOTO WA MWANAJESHI BABA YAKE ANAKUTANA NA JOSEPH ALIYEKUA RAFIKI YAKE KUMBE KAKA YAKE-PART 10
HR KIJANA ANAYETREND AKIKATA MAUNO BARABARANI, AFUNGUKA - 'WATU WANANIONA CHIZI'
Комментарии