Raila atetea kampuni ya Adani kupewa kandarasi

preview_player
Показать описание
Aliyekuwa Kinara wa ODM Raila Odinga ameitetea kampuni ya Adani Iiliyohusishwa na kandarasi tata ya uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta akisema ni kampuni yenye tajriba na umaarufu katika utendakazi wake. Odinga pia ameitaka serikali kuweka mikakati ya kulinda mikataba ya uwekezaji kutoka wawekezaji wakibinafsi na Umma. Na kama anavyoarifu Francis Mtalaki Odinga amekiri kuifahamu kampuni ya Adani tangu mwaka 2010.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hy ashapewa millions zake wakenya tufunguwe macho sasa

SaadaOmar-ep
Автор

Adani Energy sector Opiyo wandayi Raila😂

titus
Автор

thanks baba for supporting ruto instead ya kuita maandamano Biashara ya mlima iharibike

davidnyakundi
Автор

Kenyans we are alone. Let us fight for our beloved country

jamesmurimi
Автор

I thought Kenyans were singing baba, what happened huyu mzee akishapewa pesa kwisha 😂😂😂😂

abunajash
Автор

Where will be Ruto and Odinga after 30

kelvinotieno
Автор

But in kenya we don't need adani, we have our money to that work, lakani wizi ni wingi sana.sasa wewe Raila umelipwa ngapi ndio.

mzangicatherine
Автор

Sasa bunduki badia zitaingia kama Somalia Adani deal must go

Usercintahcin
Автор

Huyu hata AU haezi pata tunapea watu wanajua kuongea french language 😂😂😂😂😂😂😂

villecollins
Автор

Raila is a Salsman to trade off Kenya. Mkora huyu

ThobiasMarandu
Автор

We 30 yrs utakua wapi from now mzee tulia kula polepole

brendawafula
Автор

Mzee ameshiba hawezi ona ubaya bado kusema "Ruto Tosha"

johnyjoe
Автор

Rao's bank account Iko tu fiti...He doesn't care anymore. "Kufa dereva kufa makanga"

samsonmuisyo
Автор

Chief conman😂😂. Sagilu rafiki WA Mtemi Lesulia

cypriankubende
Автор

Hiyo kulakula ndiyo maana wanateta kisiasa yote ni maslahi ya kula

AhmedmohamedNur-crsu
Автор

Raila Odinga ako sawa... Mt Kenya political conmen n economic saboteurs are behind the politics around Adani

HillaryKoech-pkse
Автор

When politicians join Ruto I don't know if they get bewitched or what. They lose their reasoning capacity and start singing their master's tune🤷🤷🤷

annekamau
Автор

Msaliti wewe enda pondo, ninaomba ukose hiyo kiti unatafuta urudi kurusha mawe

RogersOrina
Автор

Raila akishiba ni hivo anaeza sema chochote noogle

jamesgathaiya
Автор

Raila, ruto, kalonzo, Eugene, Gachagua siasa zenu zimepitwa na wakati.

robertmarwa
join shbcf.ru