SumaJKT na TBA kufanya tathmini upya gharama za ujenzi wa Hospitali ya Uhuru, Chamwino

preview_player
Показать описание
SumaJKT na TBA kufanya tathmini upya gharama za ujenzi wa Hospitali ya Uhuru, Chamwino
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Tatizo ni la kitaalam. Kwamba idizainiwe hospitali ya thamani ya tsh. Bil 3.mchoro huo ni thamani ya 6 bil. Mengine yote ni siasa tu

buildtekconsultants
Автор

Hahahaa....Mh JAFO kinyama yaani...Hahahaaaa....!

Mpunguzieni Bei Jamaa

ismailyusuph
Автор

Maana yake ni kupunguza square metres pamoja na design pamoja na aina ya materials

eddechriss
Автор

jamani tufanye kazi kwa uaminifu suma joy naomba tbs hospitali hizi tutatibiwa wote kwanza uzalendo

lexisavage
Автор

Mh Jafo hapo sikuelewi kabisa! Una bageni zaidi ya mmachinga 😂 sasa ni kwa nini wasikae wataalamu kabla ya kufika site kupiga bajeti na kutoa michoro kabla ya yote hayo? Yani Mh unabageni ukiwa site na Magreda yanaendelea kuchimba nyuma yako hii ni kali, kumbuka cheap is expensive! Watajenja kuta nyembamba, watabana zege, nondo then wakukabidhi jengo la pesa unayotaka ila baada ya muda utakuja kugharamia pesa ile ile waliyokuwa wamekupigia bajeti 😂

allymapinda
Автор

Mmmmh Kushusha Tena Bei sio Kuhatarisha Ubora Wa Jengo

rasheedabby