filmov
tv
Matokeo ya uchaguzi Tanzania 2020: Kauli ya vyama vya upinzani
Показать описание
Vyama vikuu vya upinzani nchini Tanzania Chadema na ACT-Wazalendo vinataka kurejewa kwa Uchaguzi Mkuu nchini humo.
Vyama hivyo viwili vinapinga matokeo ya uchaguzi wa Jumatano ambapo rais aliye madarakani John Magufuli amekwishatangazwa mshindi.
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe ameeleza kuwa: ''kilochofanyika si uchaguzi ni unyang'anyi wa demokrasia uliofanywa na ZEC (Tume ya Uchaguzi Zanzibar) na NEC (Tume ya Taifa ya Uchaguzi) .''
#matokeoyauchaguzitanzania2020 #bbcswahili #Tanzania
Vyama hivyo viwili vinapinga matokeo ya uchaguzi wa Jumatano ambapo rais aliye madarakani John Magufuli amekwishatangazwa mshindi.
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe ameeleza kuwa: ''kilochofanyika si uchaguzi ni unyang'anyi wa demokrasia uliofanywa na ZEC (Tume ya Uchaguzi Zanzibar) na NEC (Tume ya Taifa ya Uchaguzi) .''
#matokeoyauchaguzitanzania2020 #bbcswahili #Tanzania
Matokeo ya Uchaguzi Tanzania 2020: Lissu apinga matokeo ya uchaguzi
Matokeo ya uchaguzi Tanzania 2020: Kauli ya vyama vya upinzani
Matokeo ya Uchaguzi Tanzania 2020: Kwanini tulimkamata Maalim Seif?
Matokeo ya uchaguzi Tanzania 2020: CUF 'Hatutashiriki tena Uchaguzi bila Tume huru'
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU TANZANIA
Uchaguzi Tanzania 2020: Je Matokeo yanaweza kupingwa?
Matokeo ya Urais wa Tanzania yakitangazwa, Uchaguzi Mkuu 2020
Chama cha CHADEMA chapinga matokeo ya awali ya uchaguzi Tanzania
Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020
UCHAGUZI 2020: Matokeo ya urais kutoka majimboni - Awamu ya 2
Uchaguzi Marekani 2020:Wahamiaji wanaoweza kuamua matokeo ya urais Marekani
#LIVE MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU TANZANIA 2020
#TBCLIVE UCHAGUZI MKUU: NEC IKIHITIMISHA KUTANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU 2020
#LIVE MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU TANZANIA 2020
LIVE: NEC INATANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU TANZANIA
NEC yamtangaza Magufuli kuwa Rais wa Tanzania
LIVE ZANZIBAR: MATOKEO YA UCHAGUZI CHAKECHAKE, CHONDA
HALI ILIVYO TANZANIA BAADA YA NEC KUTANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU 2020
HALI ILIVYO TANZANIA BAADA YA NEC KUTANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU 2020
Tume ya uchaguzi Tanzania yatoa uamuzi rufaa za wagombea ubunge
HALI ILIVYO TANZANIA BAADA YA NEC KUTANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU 2020
Updates:Matokeo ya urais Uchaguzi Mkuu 2020 yaanza kutangazwa
Uchaguzi Tanzania 2020: Mahona,Rungwe wataka raia kuhudhuria kampeni kuelewa sera za wagombea
UCHAGUZI 2020: Matokeo ya Urais kutoka majimboni - Awamu ya 1
Комментарии