SUGU aeleza balaa analoenda kufanya na DULLY SYKES, 'Nawaheshimisha wasanii wazamani'

preview_player
Показать описание
Msanii wa muziki wa HipHop, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu anaenda kufanya tamasha la 'bongo flava honors' kwa lengo la kumuheshimisha mkongwe wa bongo flava, Dully Sykes.

Tamasha hilo litakuwa endelevo ambalo litafanyika kila mwezi kwa lengo la kuwaheshimisha wasanii wakongwe mbalimbali na likiwa kama tamasha la kwanza ameona aanza na muanzilishi wa bongo flava nchini, Dully Sykes.

Tarehe ya tamasha itakuwa januari 27, 2023 ambalo litafanyika kwa mfumo wa 'Live Band' huku likiongozwa na Sugu.
Рекомендации по теме