AC ya BEI Rahisi unalipia kama KING'AMUZI ,hii Technology Balaa!

preview_player
Показать описание
#daikin #AC #snashtz
AC ya BEI Rahisi unalipia kama KING'AMUZI ,hii Technology Balaa!
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Wamezingua coz gharama Ni ghali zaidi Bora ununue ya laki7, mfano kwa mwaka wenye siku 365 utalipia zaidi ya milioni moja kifurush na kwa mwez Ni zaidi ya laki moja. That is highest cost ever. Tafakalini tena

goodhealthafyanjema
Автор

Sasa si bola ununue ya milioni kuliko hiyo? 3500xmwaka bei gan?

philibertsanga
Автор

hii sio nzuri kwa kuwa wao kila siku wanaingiza pesa. wakati ukinunu kwa laki nane tu au million inakuwa yako mazima. fikiria unalipia umeme ac ambayo itatumia then uje ulipie tena unit za ac kwa kila mwezi. asee haifai

fekechempare
Автор

Hapa Snash sijaelewa hiyo kulipia sijaona umuhimu wake hata kama inatumia umeme kidogo lkn kwa joto hil gharama zinakuwa mara mbili na pili sasa nimelipia kwa siku ila nimetoka inamaana nitakuwa nimelipia kitu ambacho sikitumii so wangeweka halichachi mpaka unit ziishe...

elijahthadeus
Автор

Dah iko poa sana ila kama utaweza naomba nishauri kitu wangeeka packege za unit unlimited kwa sababu inawezekana siku nikawa sipo nyumban na nimelipia so ingependeza unalipa kadri unavyotumia 🥰

amouralnemky
Автор

I like this kwa joto hili aah umetisha kinoma noma

musajuma
Автор

3500 mara siku moja mara wiki mara mwaka mara vyumba 4 duuuh wacha mimi nilipie luku yangu na feni

sainatv
Автор

Safi sana je wamikoani watakuja au ni dsm pekeyake?

mahsenlegeza
Автор

Mzee kuna vitu vichache niulize hapa:
1.Hii mashine baada ya malipo ya 180k, unakuwa mmiliki kabisa au ni kama ya kukodi?mean ukija kuachana na huduma yao wanaichukua.

kidahyarevocatus
Автор

Ni.ngependa kujua je ukisha maliza malipo je bado utaenderea kununua ruku ?

emmanuelgabagendi
Автор

AMNA KITU APA IDEA YA KIPUUZI KIMAHESABU SIONI KAMA IMEKAA POA

Manyara-Jr
Автор

Wamemdanganya washauri wake huu ni ujinga ata angekua anagawa bure 4500 kila siku bado aingii akilini, bora auze ata million moja isiwe ya kulipia kila siku kwa ghalama hizo amtafika mbali

emmanuelmwaka
Автор

Akili zangu mimi za kipemba bora nikusanye hizoo laki 7 ninunue hiyo maana hiyoo ukipiga hesabu kwa mwaka ni pesa ndefu sana.

ommyjay
Автор

Kwa hiyo nitakuwa nikilipia kwa kipindi chote cha maisha yake, au inafika wakati tunamalizana?

fredsanga
Автор

Kwa hiyo maisha yote ya uhai wa hiyo AC ni kulipia tu?

maulidmtowi
Автор

Hamna jipya hapo, ni utafutaji wapesa umebadilika tu hapo

willykhalid
Автор

YANI HAPO NI UJINGA KWASABB UMENUNUA lakiNA 80 LKN BADO UNAENDELEA KUWALIPA YANI HAINA MWISHO IYO. NA KUMBUKA ELA YA UMEME IPO PALE PALE. SASA APO WATU WANADANGANYIKA NA BEI YA AC. LKN GARAMA YAKE NI KUBWA ZAIDI.

zickmalik
Автор

Kwahiyo mmeona waTz ndio wakuwaibia pesa ??

sirdavis
Автор

Wapenda mserereko hapa wataona wamepatia hawatajua kama wamepigwa pia umeme wetu nao hautabiriki ntakuja nlie siku nzima nichekwe🤣

cheiknamouna
Автор

Masaa7 umeme Wa buku + 3500 ya kifurushi= 4500 minimum× 30=135000
135000+180000=315000 hii n garama ya kununua na matumiz ndan ya mwez m1, huyu mjapani akafikirie sana itakuwa aliishia lasaba

sulemanimohamed