SAME UTALII FESTIVAL WATALII WAONGEZEKA MKOMAZI

preview_player
Показать описание
Idadi ya watalii wanaotembelea Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi huko Same imeongezeka, huku tamasha la SAME UTALII FESTIVAL likitajwa kama kichocheo kwa uhifadhi na maendeleo ya utalii katika wilaya hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Same Kaslida Mgeni amezindua rasmi msimu wa pili wa tamasha la Same Utalii Festival huku idadi ya watalii wakitarajiwa kuongezeka zaidi mwaka huu, pia likilenga kuongeza ajira, na kuchangia juhudi za uhifadhi.

Mwandishi wetu DIXON BUSAGAGA anaarifu zaidi kutoka Same.
Рекомендации по теме
welcome to shbcf.ru