Yanga SC 6-0 CBE SA | Highlights | CAF CL 21/09/2024

preview_player
Показать описание
Yanga SC imefanya mauaji kwa kuichakaza CBE SA ya Ethiopia kichapo cha mabao 6-0 katika mchezo wa mkondo wa pili, Ligi ya Mabingwa Afrika #CAFCL

Magoli ya Yanga yamefungwa na Clatous Chama dakika ya 35, Clement Mzize dakika ya 46, Stephane Aziz Ki akifunga mawili dakika ya 74 na 90+3, Mudathir Yahya dakika ya 88 na Duke Abuya dakika ya 90.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hongera sn Mudathir mido wa Mpira assist 2 goli 1umeupiga mwingi mno big up broo

SweetySabra
Автор

Am a kenyan and i think this team has all it takes to win caf

mosehkim
Автор

Kudos to Young Africans for a great performance, I am sure Tanzania has a chance for these two important African championship matches! Yanga and Simba as national representatives you are carrying the Tanzania flag! Let us unite and make sure that one of the cup lands in Dodoma!

kambamazig
Автор

Hongera sana Yanga kwa kufyeka kichaka ili Simba wabaki peupeeee💛💚🏆💪👑

NaftaryMgoye
Автор

Kwenye shuti la Aziz Ki, Mpenja kasema, "Hiyo ni bunduki, golikipa kwani lazima udake?, maisha yako ni muhimu sana bro!!! 😂😂😂

furahambughi
Автор

I love the commentator.duke abuya is in the best team i



!*

kwambokka.
Автор

Leo mpenja umeonyesha utu kwa yanga big up broo

KhamisPetroKhamis
Автор

Jamaa anatangaza vizuri Hands up. Uko vizuri sana Baraka Mpenja

norbytemba
Автор

Ila nyie yanga wanaogopesha
Halafu aziz kama umetuminyia kwa ndan ❤❤🙏 kuna namna umevutia vile uliamua kuwa sijui ulikuwajee

HaibaSalehe-tbvn
Автор

Young hii tunaweza tukaiona club world very impressive 👏

MohamedAbdallah-dddm
Автор

Gonga like kwa mzanzibar mwenzetu mudathir, say hellow

اسدحديدي
Автор

Wangapi wa nairudia hii mechi LIKE 10 ILI TUJUANE 😂😂😂😂Ila boka jamaniii zile mbioo😂😂

Shadia
Автор

Yanga nyieeeeh yamoto I'll love you yanga 💛💚💚💛

theresianibret
Автор

Yanga hii unaifungaje 😂😂😂 nyie ni humu tu 💃💃💃💃 yanga baba lao 💛💚 wakisema cbe ni vibonde waulize wao walipigwa ngapi wanabaki kusonya tu 😂😂

sadahamad
Автор

Nimefurahi just kwa yanga yanguuuu💛💚💛💚💛💚💛

corneliaprosper
Автор

Msimu ujao tutashiriki kombe la Dunia la vilabu
Inshallah

AlfaMwasofu
Автор

watanzania sisi cjui tumerogwa na nani?! kiwango anachokionyesha mudathiri akizungumzwi "chama kafunga kigoli kimoja sifa zote kwake..tuwazungumze wachezaji wetu..good performance mudathiri yahya abbasi excellent 👌

robbywilson
Автор

Mtangazaji balaa nakubali brather Mungu akujalie ufike mbali Zaidi

Ommywhity
Автор

Hili goli la mama litaua wachezaji wetu adi kocha napna lishamuingia 😂😂😂😂yani sisi ndo tupo mbele ila wavhezaji aanakimbilia mpira kama vile tumetanguliwa 😁😁🇹🇿😁😂💛💚👌 kipa wao kateseka maskin ya Mungu hatokuja kuisahau yanga

malietamaliet
Автор

Mudathir ni hatari nyinyi. Huu ni wakati wake 🎉🎉🎉
Sifa zake apewe this is zanzibar

اسدحديدي
welcome to shbcf.ru