OMBA FEDHA UNAYOTAKA WEKA NDANI YA MAJI YA CHUMVI.

preview_player
Показать описание

Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Asante sana dada, nimefanya maelekezo, uliotuelekeza, MPaka matajiri, wamekuja, nakunipa, pesa wenyewe, ubalikiwe, dada

Espoirkarhentema-pdlc
Автор

Dada asante naamin nitafanya kwa nguv y mwenye mungu akulind

AnnaMushi-dg
Автор

Mungu akulinde daima kipenzi changu Asante Kwa mafundisho mazuri! Barikiwa zaidi

StellahKibassa
Автор

Asante dada Kwa SoMo hili nitafanya hivo Mungu anijibu ombi langu

FrankNoni-yzik
Автор

Asant sana mungu azidi kupa maisha marefu

martinehussein
Автор

Asante kwa somo zuri na nitalifanyia kazi nimelipenda❤

AmisaRajabu-yy
Автор

Asante mungumu akubaliki pamoja nasi.tunaenda kufanya ulicho tufundisha .amen

NganyirendeObedy
Автор

nimependa sana dada mi nashida ya macho yanaota ukungu

aisharamdhani-kgfw
Автор

Mungu akubariki na akanibariki na mm kupitia SoMo ulonipa

MiriamJoshua-py
Автор

Asante maman kwa shauri ulizo langu ni hilo hayo maji ya cuvi mutu anayaombea kila siku ao siku Moja tu, na yanawekwa aje ama wapi ndani ya nyumba ama inje

MammyMbuya
Автор

Asante kwa mafundisho, kwa sisi wa Congo mani tua ndike jee dada ✍️🇨🇩

mahambagislain
Автор

Asante dada kwa somo nitafanya na mimi

MariamJabir-nluo
Автор

Asante sana dad's kwa maelekezo niyafanyie Kazi nitarudisha majibu, laki je, naweza nikaomba chochote tofaut na pesa, labda Kaz, mchumba, ulinzi, kuondoa nuksi, mikosi na mabalaa ya maisha?

arya-star
Автор

Asantee dada naamin kupitia nguv za ulimweng mm ni mt mwenye pesa nying san

AdventinaStaricko
Автор

Asalam waraykum dada asant nimefanya kama urivyo tuereza inshallah nimefanikia asant

AbdarlMario
Автор

Kama mtuhana chuvi yamawe ana yaunga anaeza fanyaje😊

KaserekaKaserekaradjabu
Автор

Asante Dada angu ngoja na Mimi nifanye naa mini mungu atanibaliki

EdigaHaule
Автор

Kwel chumvi Ina nguvu ATA wachungaj wanaitumia

VickKulekana-siib
Автор

Mama thanks but am asking u if u have an idea about an egg & salt 2 be taken 2 da lake coz de one who tought network went bad & didn't repeat it.thanks.

BenardMasereka
Автор

Mim leo nmeona maajabu nkienda kazi asubuhi nmekitumia kitunguu saumu kwa sku mbili sasa, mungu akubariki sana

dancanmutuma-mv
welcome to shbcf.ru