Majaliwa 'apigia debe' sekta binafsi ujenzi wa miradi mikubwa

preview_player
Показать описание
Sekta binafsi 'imepigiwa debe' na Waziri Mkuu, ameitaka ijidhihirishe kwa kushiriki katika miradi mikubwa inayoendelea kutekelezwa na serikali. “Katika ujenzi wa reli hii ya kisasa…zaidi ya makampuni 60 kutoka sekta binafsi yameshirikishwa…kama mradi huu umechukua makampuni yote hayo…hii inadhihirisha kwamba ushiriki wa sekta binafsi katika miradi mikubwa utapanuliwa,”
Рекомендации по теме