Usiogope Kuanza Upya - Joel Nanauka

preview_player
Показать описание
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Napenda content Yako it's a blessing

ddfg
Автор

Kaka unawezaje kuanza upya huna pakuanzia si lazima ujipange kwanza, kwa mfano huna kazi yeyote huna msada wowote una watoto wewe ndo baba ndo mama na unataka uanze upya utafanyaje ndo naomba ushauri kutoka kwako kaka yangu.

uwingeneyeshadia
Автор

Nakupenda sana, nanauka unagusa maisha ya walio wengi.

mariamm
Автор

Umenifundisha sana japo miaka minne iliyopita niliamua kuanza upya maishayangu ilasikuwa nahii elimu nasikuona nimekwama japomimi nilianisana kuwa Mungu anasababu ilaleoo umenipa elimu najuaa itanisaidia zaidi kufikambali japo Mimi sikuogopa nilimiliki gari ilanilitembea kwamiguu nilikuwa naoona manyumba yapo mengi ilaniliamua kuyaacha nakuamini nitapata nahadileoo mwakawanne vyote navimiliki ikiwemo nyumba gari bishara

jenifaaloyce
Автор

Jammi umenigusa sana mm leo nahama kampuni ambayo nimekuwa nikifanya kazi nao lakin hata usiku silali nikijua nni kitakacho tokea nikihama itakueje lakin hapa saivi nimechukua hatua ya kwenda kutengeneza kampuni yangu nianze upy umenita moyo sana sana kwni ilikuwa nimekosa rafiki wa kunita moyo kwa Hilo na sasa nimeamwa kuelekea bank nifanye maamuzi joel ubarikiwe sana wewe umenikumbusha Sana kwamba kuanza upy sio hasara pale endapo kuna utofaut nikokuwepo na nakoelekea mungu akupe maisha mazur kama unavyo tubadili sisi vijana kutoka kwenye uoga wa kimaisha

joshuamollel
Автор

Katika kila jambo baya ndani yake kuna zuri limejificha

ndarojuma
Автор

Hawa watu ambao wana dislike wanamaanisha nn

aikamalisa
Автор

Aah kaka joel tumekuwa wengi umetugusa ktk maisha i la inabidi iwe ivo bora kuanza upyA naomba utufunze vip tunaanza

salmamasood
Автор

Jamaa uko vizur Sana hapa nimejufunza kitu . japo Mitihani ipo

isackcsimba
Автор

Nakushiru J Nanauka kwa kumenitibu akili, roho na moyo wangu kama unavyowatibu watu wengine namuomba Mwenyezi Mungu akutibu wewe na familia yako kwa ujumla zaidi ili uzidi kitutibu magonjwa yetu ya kisaikolojia na maarifa.

ramadhanbashir
Автор

Watu weng hawajitambui kwamb wanauzo gan wa kipekee kutokan na vitisho wanavovipta makazn hivyo hujiona wanyonge Kwamb yey c lolote hivyo kuanza upya anaogopa kwa kashaambiwa yeye n m2 wa kawaida c kwel you have to define ur self

awamkhalid
Автор

Kiukweli mi napenda sana kukuskiliza na kuna vitu vingi napata kutoka kwako shukran sana

hamaddadi
Автор

Asante sana umenipa moyo naanza upya nikua nimekata tamaa

justinapaul
Автор

Hakika, kuanza upya ni boora kuliko ku give up.

emanuelmanasekimaro
Автор

Hakika kaka joel hiii umenijenga kabisa Na sasa naelekea kufnya upy biashara yanguu pia mda sio mda nitakupa uniunge kwenye group....

joshuasimon
Автор

Usikumbuke vitu ulichokuwa navyo na kuona ni vitu vikubwa kuliko mwanzo wako Hofu Ndio inatawala ktk changamoto
Jua sababu zilizokufanya kuanza upya juwa kuwa ulipokuwepo sio mungu alivyopanga maana yake unapoanza upya Ndio kwenye mafanikio kuliko

michaelkessy
Автор

Mimi nataka nianze upya sana lkn kuna watu wangu wa karibu wananirudisha nyuma nataka niwache kazi na nijiajiri mwenyewe

hamaddadi
Автор

ASANT SANA MWALIMU JOEL NANAUKA KWA ELIMU NZURI BADO NAJIFUNZA HAPA ILI KUFANIKIWA

chrismassawe
Автор

Kaka leo umetumaliza kabisa tunashukuru sana kunakitu nazd kujifunza

hilarygodfrey
Автор

Brother mungu akuinue zaid ya hapo unagusa maisha yangu barikiwa zaidi

silasjoseph
visit shbcf.ru