#TAZAMA| SERIKALI YACHACHAMAA WIZI WA VISHKWAMBI, YAMUAGIZA RPC ARUSHA KUVISAKA KILA CHOCHO

preview_player
Показать описание
Serikali mkoani Arusha imeliagiza Jeshi la Polisi Mkoani hapo kuhakikisha vishikwambi vitano vilivyoibiwa kipindi cha sensa vinapatikana kwa matumizi ya umma.

Akizungumza septemba 8,2022 wakati wa utoaji wa taarifa za sensa ya mwaka huu iliyoanza Agosti 23 na kukamilika Septemba 5,2022, Mkuu wa mkoa wa Arusha, John Mongella amesema jumla ya vishikwambi vilivyoibiwa  vilikuwa nane na vitatu vimepatikana hivyo ni vyema vikasakwa vilivyobaki.
Рекомендации по теме