FAMILIA YA MZEE KICHECHE (Ep 08)

preview_player
Показать описание
#kicheche #kichechecomedy #familiayamzeekicheche
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Tuliyo mu miss mkenya tu juwane apa 😂😂😂😂😂

Baudouin-Tv
Автор

Manyanya ndo best actor kwenye hii moviee 😂😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

tayk
Автор

Iyo bia Serengeti lager ya Chapombe haiishi tangu wanzo wa Episode paka sasa 😂😂

anthonylister
Автор

Oya huyu msomi anajua sana mm naumulewa sana kama uko pamoja na mm juane kwa like❤

muhammedkhamis
Автор

Anayemkubali kijana msomi agonge like kama zote

ujuzinyotatv
Автор

Mimi naipenda ya family ya mze ki cheche kwa jambo moja tu hata kama ni wakorofi lakini wana omoja wana pendana lakini kubwa zaidi wana musikiliza baba yao nahilo ndilo jambo kubwa katika familia

Raihanfirdausimohammad
Автор

Mpe sana nafas manyanya ana ki2 ukimtoa zaid atafika mbali #kicheche

saidkizulwa
Автор

Kicheche mwehu pamoja na mwendawazimu wakipendana basi nipe likee nyingi hapa kwaajiri ya kicheche❤❤❤❤❤

TIGER_TALENT
Автор

Hii vita ya kicheche na clam back trailer yani big up kicheche

abdulhakeemkudra
Автор

Latifa kapemdza mashallah ❣️ akisuka anakuwa mrembo

BintyAlly-vr
Автор

uyu MHA mwenyekit hahahaa anatishaaa sanaa

Gujay
Автор

Namkubali Sanaa msomi Mze wa mathemacal...watching from Burundi

nshimirimanahussein
Автор

Wakwanza mm leo star mbumba from star brand🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

starmbumba
Автор

🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwendelezo jaman mtuwahishie
Mambo ni 🔥

monysanga
Автор

Kicheche unapiga, kazi safi mbwa wewe😂😂, Kenya tunaipenda kazi yako safi haina dosari❤❤❤🇰🇪🇰🇪

Dudahfelix
Автор

Jaman nimekuwa wa piri Léo nipeni like

Nikocrisanto-zj
Автор

Nawapenda paka bac 2 jamani naombeni likes, 5. 2 alafu nawatakia Ramadhan Kareem kwa waeslamu wote, mcsahau kulike

FurahaKatana-qz
Автор

Kicheche my day maker❤From kenya'1, 2 Ramadhan kareem 2all muslim brothers🥰

MuhsinMohamed-jggw
Автор

Kicheche ikiisha hii endeleza pesa na matatizo ile move ni nzuri sana please kicheche ukifanya iv utakuwa umefanya vzr 🙏🙏🙏

DeusJohn-ekch
Автор

😂😂😂😂😂😂😂kwa ugwadu niloupata kwa muda mrefu😂😂😂😂😂 upwiruu sapharing bg up manyanya njoo ndani 😂😂😂😂 mnajifanya kukaza mtakufaa like waloliona hilo

WazoMtalo
visit shbcf.ru