#TBTFromBONGO5: Mwana FA alivyowakutanisha Chidi Benz, Alikiba na Mr Blue

preview_player
Показать описание
#TBTFromBONGO5 Ni miaka mingi iliyopita ambapo rapa Mwana FA aliweza kuwakutanisha wasanii kadhaa akiwemo Chidi Benz, Mr Blue pamoja na Alikiba kwaaajili ya project yake. Je ni nani kati yao ambaye unaona amebadilika sana?.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kiba na fa kitambo sana pamoja alaf juz uzinduzi wa radio mlikuwa pamoja pia...!! One love na upendo wa kweli.. wala hakuna majivuno...
Na hapo kabla baisa hajawa chawa wa diamond

georgemathew
Автор

nimecheka Sana alikiba alipoambiwa aje akae hapo aseme neno

maryangela
Автор

Natamani mda ungerudi nyuma kidogo nawaona washkaji walio haso kihalali mpaka hapo waliko fikia kweli kila hatua ina dua!!.

paschalisalu
Автор

Nimeipenda bure daah zamani inapendeza kwa kweli🙌🙌🙌

wemakalam
Автор

Jmn watu wametoka mbalii dah!hadi raha😃😃😃😃😃allah azidi kuwapa umri muishi miaka mia.

shanizyusuf
Автор

Dah! 😁😁😁 I remember ilkuwa n ktk kushoot video ya "habari ndio hio" when music was music hakukuwa na matuc enzi hizo...

abdulmohd
Автор

Sichoki kuangalia hii video duh! Naona 🐐🐐🐐🐐💯🙌🏼 Kiba Mr blue Chidi Benz na MwanaFA 😂😂😂🙏

POGMESSITV
Автор

Kuna mtu yupo karbu na mwana FA anaitwa sadic mbegu. Dah huyo jamaa ukimuona kwa sasa utalia chd benz mnene

umaryibnabdullah
Автор

kitambo sana unaweza tamani siku zirudi nyuma wazee watu wanatoka mbali tusichukie mafanikio yaoo

konkipiere
Автор

Mr blue alikuwa handsome boy jaman arangi og sana mm n fan wake kitambo mpaka leo

patopiitz
Автор

Nywele zakiba hazina ushirikiano😀😀😀ila wote hawa vipenzi vya wa2 😍😍😍

fainnamvungi
Автор

Duh kumbe watu wanatokambali aiseee big up nyote mupendane hivyo hivyo😂😂😂😂

samanthaali
Автор

Kweli mziki una hela FA alikua mtu wa watu apo alikiba anaonekana hali ngumu chidbenz alikua mbavu

frozenrozen
Автор

Noma sana miaka hii watu ndio walikuwa wanajua kuimba

kedmondmtambi
Автор

Watu mziki wameutoa mbali sana, ila king kiba bado yupo kwenye game daah kweli ww niking wa bongo flavour! Iyo aitaji ubishi, ila nanyinyi bongo5 munastaiki pongezi ila fanyeni kazi acheni upendeleo

rashidisalum
Автор

Apo Domo alikuwa ajulikani Kipind icho

omaryhusseinlibenanga
Автор

Bonge moja la kumbukumbu yaan kitambo sana

innocentkimata