Wastara azimia wakati wa kuuaga mwili wa Mzee Majuto

preview_player
Показать описание
Msanii wa Filamu nchini, Wastara Juma leo wakati wa kuuaga mwili wa mchekeshaji maarufu nchini, King Majuto nusura azimie baada ya kuaga mwili huo katika ukumbi wa Kareem Jee jijini Dar

Enjoy to watch Super News TV made in India subscribe our Channel for more videos.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Unalia kwa uchungu Dada wastara, mpaka umeniliza mpenzi wangu, pole sana Dada wastara yote ni mipango ya Allah, Innalilah Wainnailah Rajiun, Allah akuhifadhi maali pema peponi Babu yetu mpendwa.

saumuhassan
Автор

mmmmh aki ya mungu pole sana wastara, ,,kamkumbuka sajuki wake piaa

daudyzegu
Автор

Pole daa wastara najua umekumbuka mengi jikaze daa tumuombee babu alale salama kwenye wema peponi amiin

tumamwakurauka
Автор

Pole sana wastara apo unalia kwa uchungu kila msiba unakumbuka mengi

Innallilahi wainna illahi rajiiuuun

omanioman
Автор

Maskini wastara kafikiria mume wake zaidi pole dada Mungu akupe subra

amirsab
Автор

Poleni Sana wafiliwa mungu awape subra Inshaallah

rehemahemed
Автор

Pole sana DADA angu
mungu amempenda zaidi jaman
tumwombee

reginamassawe
Автор

Pole wastara mungu akupenguvu nawewe umepiya mengi ndungu yangu mungu amfunguliye jana inalilahi waina lilahi lajiuni

wakifedhayakub
Автор

Unajua unapoona msiba ukikumbuka na ww km umefiwa lazima ulie km hayajawah kukufika ndo utaona km kiki vile hapo analilia mawil Majuto na kamkumbuka mumewe

maimarthankya
Автор

Subhuana Allah mwenzenu analia uchungu mnasema kiki kueni na roho ya uruma analia amekumbuka mengi kwanza marehemu mume wake na kama mnasema akumlilia bc muwanafki wanao sema ni kiki kulia kwa stara bc hawajaguswa na huu msiba na wala hawajaondokewa ndio wakadema pumba pili wastara wakati mzee king marehemu anaumwa alikwenda oc kama ujaona ni ww udionge kitu ambacho una uakika nacho tudipende kujajiana jamani muogopeni MUNGU😭😭😭pole wastara dadangu

mejubaraza
Автор

Inalilahi wainah ileih rajhun poleni sana Allah awape subra inshallah ...ameniliza king majuto ...Allah abraham umenkumbusha sajuki na sharobaro na stiv kanumba😢😢😢😭😭😭

faridabakari
Автор

Tumuoqope sana munqu, natufanye ibada sana

makamekiwandani
Автор

Jikaze dada mm najuwa unakumbuka mbali sn cku km yaleo

nshonabdll
Автор

Wastara akifa msanii anakuwa na maumiv sana unamkumbuka sajuk wake maskin!! Pole sana dada inatia uchungu lkn ndo hvo hatuna namna Aliemuumba kaamua kumrejesha kwake, ee Mola tupe wepes katika kipind hiki kigum kwetu

kindolek
Автор

mwenyezi mungu akupumzishe mahari pema babangu amina

rehemaamiry
Автор

Majuto umetuliza dunia tanzania nzima 😢😢😢😢😢😢

salmaothman
Автор

Fiweni na nyie msilie kwani mkilia lazma mtakua mnatafuta kiki..

fidesbenard
Автор

Polen sana wafiwa c nny tu mlioumia hata sisi pia tumeumia sana cha muhim tumuombee mzee wetu, R.I.P king majuto!

emmanuelgasomi
Автор

MTU analia mnasema unafki...mnaona anaigiza...anakumbuka mengi jamani..ss binadam sijui tupoje jaman! Pole wastara

afrarugakingira
Автор

huyo wastara analia unafiki tu mbona hospital hajaonekana wakat mze wetu anaumwa wengine wanalia kwa uchungu kwelii wengine wanataka kuuza jina mitandaonii

limokisuda
visit shbcf.ru