Mudavadi Alinionyesha Raila Odinga Mimi Sikuwa Namjua Baba, Cleophas Malala

preview_player
Показать описание
Ni wazi kwamba mzozo unaotokota ndani ya chama cha ANC umechukua mkondo mwingine baada ya seneta wa Kakamega Cleophas Malala kufurushwa chamani aidha Seneta huyo amesema kwa hakuna mtu yeyeyote atakayemfurusha kwani yeye ndiye mwenye chama #CleophasMalala #KakamegaSenetor #MusaliaMudavadi #JamboKena
Рекомендации по теме