Young Scientists Tanzania 2015.

preview_player
Показать описание
Tanz-Education ilipata fursa yakufanya mahojiano na wanafunzi wenye ulemavu wa Macho waliokuwa wakishiriki katika Maonyesho ya Sayansi kwa wanafunzi wa shule za sekondari, yaliyoandaliwa na Young Scientists Tanzania.
Рекомендации по теме