MKUTANO MKUU YANGA | Yanga wakusanya bilioni 17.8 msimu wa 2022/23

preview_player
Показать описание
Uongozi wa Yanga waweka hadharani mchanganuo wa mapato na matumizi kwa mwaka 2022/23. Jumla ya mapato kwa msimu huu ni bilioni 17.8

NiMkutano Mkuu wa Yanga uliofanyika leo kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC)

#YangaSC #MkutanoMkuu #MkutanoMkuuYanga #JNICC
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Hiiii Nchiii wapgaji Sana hasa YaNGa vs Simba 😂😂😂 mtu anasoma mapato na matumiz unasikia lkn iyo bas nyie tupgen ss tunaitaj team ifanye vzr ata mle zote, ila team isajili ifanye Mazur....

victormbugobola
Автор

Serikali imepata pesa nyingi sana kutoka yanga, yani Mama alicho fanyanya nikuwapatia kidogo walicho toa wao wenyewe😂😂😂

birianination