TABIA ZA MAJINA YANAYOANZA NA HERUFI (F,R,M,H,S)

preview_player
Показать описание
Maajabu 18 ni utendaji wa jina la Mungu kupitia maji yenye jina la Mungu ambalo tumelifanyia utafiti miaka 13 na kutoa majibu sahihi.
Hivyobasi kwa mtu mwenye maradhi sugu au shida zinazoitaji msaada wa Mungu tunamkaribisha.
TUPO KINYEREZI MWISHO DAR ES SALAAM
+255712335000/+255737611733
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

(A) nao pia hawaeleweki alafu niwajeuri na kiburi alafu ni domo zege sana yani niwazito kujieleza adharani kwa anae mpenda

starlight
Автор

nauliza Mimi ni A kutoka kwa baba kwa mama ni s nimempenda N je twaendana

SadaBukuku-jsej
Автор

Dkt mmniFadhil maliam nampenda sana ila kunakitu kimetokea kwake maada ya kusema kwa hasila nayeye anaitwa maliam tunaendana

FadhilSylivester
Автор

Kweli baba akiniambiaga vitu vilikuwa vinatokea yeye ni f ndio ana upendo lakin ulivyosema ni kwel kabisa alisemaga tuone iyo safar kama itakuwa mana umetangaza na kwel haikuwaga

VickKulekana-siib
Автор

Herufi T na herufi A je wanaweza kuishi vizuri. Wakioana?

YustaMwakanyeta
Автор

Siyo Mariam wote, fanya Utafiti tena.

benjaminbatano
Автор

Wewe sio MUNGU,
Mume wangu Mimi ni H, but ni MTU ambaye anapenda kujishusha Sana na hampendi watu wajue mambo yake. Ni MTU mwenye upendo wa Hali ya juu na msimamo mkali katika kitu anachokipenda, Yuko tayari kufanya chochote alimradi kumlinda anaye mpenda, halafu hawezi kusema uongo hats umfundishe hawezi kusema ulichomwambia ila ataitikia pale.😂

EdiltrudesMbonde
Автор

Ss akina r Ni udogo. Vip ulisema tuoane na akiba aeiou na Hawa Ni Moto inakuaje hapa

rahmamsagati
Автор

Watangazaj mpunguze kelele bas yeye akae kimya muongee ninyi

salimalaquimane
Автор

Sio S wote eti niwapigaji bwana mi mbona siko hivo na kama kua kwa mausiano mbona siwezu kum cheati ninae mpenda hapo nakataa ila kwa kufikiria mengine niki ongeleshwa hapo sawa nakubaliana nayo

starlight
Автор

Mulijuaje huyo H anakuwa na matatizo ya tumbo na kichwa ? Na ako katabia kakuvimba

azizyohana
Автор

Kaka mimi ni s natakiwa nioe mke mwenye herufi gan

simonyusuphkwigema
Автор

nilikua nataka nijue mim naitwa selemani mkewangu alikua anaitwa nohela alikua mcristu akawa amesilimu akawaameitwa sada vp hapo nisaw

kilindaselemani