MWASITI PART 3 : TIN WHITE/ MKOJANI/NAGWA

preview_player
Показать описание
#Mwasiti#kipupwe#tinwhite

-~-~~-~~~-~~-~-
Please watch: "(3) 5 MARKETING HACKS THAT INCREASE YOUR SALES and MAKE YOU MORE MONEY "
-~-~~-~~~-~~-~-
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Noma sana mmeua wazee nawakubali Sana wote nagwa tin mkojani...bongo muvi bongo lala. Mnasepa na Kijiji miaka mia..ule ule msamba miaka mingi hatuja filimba, , , ,

matarisuma
Автор

Safi sana nimewapenda Oso kwakufuata ushauri wawateja wenu hapo ilipokaa logo iko safi kabisa ila mkojani na tin hawajamaa nimafund

brotheradam
Автор

Tin with kama kanumba kabisa kwanzia sauti na kila kitu

jimmymeshack
Автор

Hahahahah jamaaa muko vzr na nifunzo kweli hili asanteni sana

AhmedSalah-ries
Автор

Khahahahaha ...hujaogopa msitu wa amazoni

jamespetro
Автор

Jamaa kaliwa ganji daah nimecheka sana ila yote kw yote munajitahidi sana big upo kw wote

abeidabdullwarith
Автор

Macho meupe kama mgojwa alokosa sickle cell, tiny white mzee wa KINGEREZA KABISA

abdulnaseermrisho
Автор

Tiny white, mkojani, nagwa nawakubalii sana from mexico

winifrida
Автор

Nagwaa umecheza poa sana yani sikutegemea uko💋💋💋💋

agnessestoni
Автор

Jamaaa anamshauri vzr mshkaji anayumba but ndo vijana Mpk yatukute

allyissa
Автор

😀😀 Big up kwa wajomba wote 👏🏿👏🏿 Salute sana kwa Tin, Mkojani, Nagwa👊🏿

yassirihernandez
Автор

Mkojani kila move yy nimatatizo tu kumbe ras nimzury akivaa suruali lv u ras mi rasi mwenzio

happyeliya
Автор

Dahh tini bhna na kinge juuu chezea mimba weye

saphinampini
Автор

Bola kidogo tini amesoma anamsema mwansity kwa kingeleza 🤣😂😂😂

tariqkideu
Автор

Mkojani anajua kuongea xana atajitetea mahakamani😂😂😂

BhaiMwadidu
Автор

Tin Leo umeongea kizungu kwa hisia hahaha daa inauma sana mtu akimtia mimba mwanao alafu mwanafunzi inachoma km pasi

emmyyahya
Автор

Jamani Nagwa wangu Leo hupo smart mashallah 👌👌😘

angelnoble
Автор

Safi saaana nawakubali kabisa 😂 mkojani weye 😂

RukiyaButoyi-sknm
Автор

Big up tin white Sana umenipendeza mno

saidihamzaramadhan
Автор

😆😆😆😆chezea KINGE we tin umetishaaa😆😆😆😆mwasit umelipata ulichotaka

sarhasarhasalum
welcome to shbcf.ru