PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI PART 79 | Love Story #love

preview_player
Показать описание
#love
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Kelvin n loveness n wote tunawapenda sanaa ..

BossyFaith
Автор

Waooo nimewah ila maisha nimafup san jmn tusiache kumwomba Mungu atujalie mwisho mwema

abdallahassan
Автор

Namba 1, Tunao taka kuona Loveness ana Mapacha Kwa Tumbo Tujuane Hapa 😂🤸

KiboxMedia
Автор

Boni uko namba one friend of kelvin family ❤❤❤❤❤

EzekielNdubi-oq
Автор

waooooh lovey apo umecheza kama wewe uyo tina ata shika adabu na ataondoka kwa maisha yenu mwogopeshe kabisa

RisperKarimi-hl
Автор

Jaman mama ake kelvin anajua kuigiza huyu mama nampenda kuliko wote kwenye hii movie aise umebalikiwa sana mama yangu ya kwenye movie❤

NaomiZabron
Автор

WALIOTOKA KWANGALIA DUNIA TUJUANE 🎉🎉🎉🎉

CASIMIROVEVO
Автор

Nawapenda sana family ya kelvin ila musichoke kutuombeya sisi watu wa goma na Bukavu kijumla watu wa Congo

IsaacJacobcirimwami-hs
Автор

Jaman toka naanza kuangalia episode ya 1 mpaka leo sijawai kupata like but nawapenda sana na mungu azid kuwabariki na kuwaajalia afya njema

SharifaShery
Автор

kwa kweli n wangapi wanaungana n mm kwa kumpa kelvin hongera kubwa sana tena sana maana n mwanamume ambaye n mpambanaji na mwenye msimamo na hakati tamaa kamwe, , , , mm wa kwanza

EuniceJoel-mi
Автор

Ila love nakupenda bure na vijibu unavyompa tina kazana aondoke hapo uyo mjusi😂

AishaMatsudzo
Автор

Nyie nyote mnaofuatilia penzi la mtoto wa boss nawapendraah❤🥰

IrynePilly
Автор

Yani watu wanarauka sana😂😂😂pongezi nyote wenye mnatazama mtoto wa boss mungu awalinde

زينهزينه-بضت
Автор

Team loveness Kwa kazi nzuri yako love.Nipeni like nami nifurahi.

NyabokeMasese
Автор

Chopeko duu kweli loveness kampa jina nzur

HappynessChristopher
Автор

Karibuni tena Kigali Rwanda Kigali 🇷🇼 turabakunda cyaneee eeee ❤❤❤❤❤❤❤ hongera sanaaa popote muripo mungu aeneze maombi yenu kbs

nshimiyimanaalex
Автор

Hongereni sana Loveness na Kelvin 🎉🎉🎉🎉 much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤

MwangoloYahya-gb
Автор

Wanaopenda tina aondoke kabisa kwenye maisha ya kelvin tujuane kwa like❤❤

TumainiJemsi-wo
Автор

Tina mwanaume ni tofauti na wewe hakuna mwanaume anae msamee mwanamke😂😂😂 kazi ya mwanaume ni kusahau na kutoa kumb2 maua yetu wanaume🎉🎉🎉🎉🎉

JumaShabani-hmfz
Автор

Nmechelewa jmn Ila 🎉🎉🎉🎉 sote Waja Wa Mungu
Swaum maqubull InshaAllah ❤❤❤

aminandurya
welcome to shbcf.ru