filmov
tv
Naibu rais Ruto aongoza kampeni za Kenya Kwanza Pwani
Показать описание
Muungano wa Kenya Kwanza ukiongozwa na Naibu Rais William Ruto leo umepeleka kampeni zake maeneo ya Pwani kwa kuzuru kaunti za Taita Taveta na Kwale. Msafara ukianzia Taita Taveta ambapo naibu rais ameongoza mikutano ya kiuchumi ambako aliahidi kushughulikia matatizo ya wakulima na wafanyibiashara wadogo. Huko Kwale, Ruto aliyeandamana na magavana Amason Kingi na Salim Mvurya aliahidi mageuzi katika bandari ya Mombasa.
Naibu rais William Ruto aongoza kampeni za Kenya Kwanza Nakuru
Naibu rais Ruto aongoza kampeni za Kenya Kwanza Pwani
Naibu rais William Ruto aongoza kampeni za Kenya Kwanza Embu
Naibu rais Ruto aongoza kampeni Makueni
Naibu rais William Ruto aongoza kampeni Tala, Ukambani
Naibu rais William Ruto aelekeza kampeni zake kaskazini mwa Kenya
Naibu rais William Ruto aongoza kampeni za Kenya Kwanza Tana River
Naibu rais William Ruto aongoza wanasiasa wa mrengo wa Kenya Kwanza kwa kampeni Kaunti ya Kirinyaga
Naibu Rais William Ruto aendeleza kampeni kaunti ya Kajiado
Naibu rais William Ruto aongoza kampeni kaunti ya Mandera
Naibu rais William Ruto afanya kampeni Bonde la Ufa
Naibu rais aongoza kampeni za Kenya Kwanza Murang'a na Nyeri
Naibu Rais Ruto atarajiwa Kajiado kwa kampeni za Kenya Kwanza
Naibu Rais William Ruto aendeleza kampeni Kajiado na Narok
Naibu Rais William Ruto aendeleza kampeni Vihiga
Naibu wa rais William Ruto aongoa kampeni za Kenya Kwanza Kiambu
Naibu rais William Ruto anaendeleza kampeni kaunti ya Nakuru
Naibu rais William Ruto afanya kampeni kaunti ya TransNzoia
Naibu rais William Ruto asema anaheshimu uamuzi wa rais
Naibu rais William Ruto afanya kampeni siku ya nne Nairobi
Naibu rais William Ruto aongoza kampeni katika kaunti ya Narok na Kiambu
Rais Kenyatta awakemea wafuasi wa Naibu Rais Ruto kutoka mlima Kenya kwa kufanya kampeni za mapema
Naibu rais William Ruto ameendeleza kampeni maeneo haya
Rais Uhuru asema kampeni ya 2022 imemfumba DP Ruto macho
Комментарии