Naibu rais Ruto aongoza kampeni za Kenya Kwanza Pwani

preview_player
Показать описание
Muungano wa Kenya Kwanza ukiongozwa na Naibu Rais William Ruto leo umepeleka kampeni zake maeneo ya Pwani kwa kuzuru kaunti za Taita Taveta na Kwale. Msafara ukianzia Taita Taveta ambapo naibu rais ameongoza mikutano ya kiuchumi ambako aliahidi kushughulikia matatizo ya wakulima na wafanyibiashara wadogo. Huko Kwale, Ruto aliyeandamana na magavana Amason Kingi na Salim Mvurya aliahidi mageuzi katika bandari ya Mombasa.
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

TV ya waganga....don't air news of Ruto...air news ya kuzimia....takataka

edwardkamau
Автор

Raila na Rutu na Uhuru kenya tta na Kalonza na karua atakuwa rais wakenya

abdiabdi
Автор

👍 This is the prophecy from a layman just before the handshake; " Uhuru Kenyatta shall hand over the presidency to Raila Amollo Odinga come August 2022."

pinkunicornk
Автор

ehhh...wacucu and wa
...jihadharini...wanugu ni jambazi sugu...

qrankmw.