ZAIDI YA ABIRIA 50 WANUSURIKA KUFA KATIKA AJALI YA BASI SHINYANGA

preview_player
Показать описание
ABIRIA zaidi ya 50 waliokuwa wakisafiri na basi la Kampuni ya Premier kutoka mkoani Mwanza kwenda Jijini Mbeya wamenusurika kifo baada ya basi hilo kuacha njia na kupinduka katika barabara ya Shinyanga – Tabora maeneo ya Kijiji cha Ngaganulwa wilayani Shinyanga na kusababisha majeruhi saba.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, ACP, Debora Magiligimba anaelezea kuhusu tukio hilo la ajali.
Рекомендации по теме