JINSI ya KUFUNGUA JICHO la TATU uone mambo ya ajabu duniani

preview_player
Показать описание
#Jicholatatu #Jicho #Ipmmedia
Leo tutajifunza jinsi ya kufungua jicho la Tatu na kupata uwezo wa kuona mambo ya wazi na yaliyo sirini.
Jicho la Tatu kila mtu huzaliwa nalo, watoto wadogo wote huwa Wana jicho la Tatu lakini hufifia kadiri wanavyokua na kupoteza uwezo wa kuona kabisa wakiwa wakubwa. Tizama video hii mpaka mwisho ujifunze.
Keywords:
Jinsi ya kufungua jicho la Tatu
Meditation
Jicho la Tatu
Ipm media
Elimika online
Mantra
Tafakari
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Jeunaweza ku fungua jicho la tatu uku ukiwz ume ulaza mwili

HamiyAthuman
Автор

Uko vizuri ila video za hivi haziitaji picha za kutisha

SalemDaniely-pn
Автор

haki yanani unaweza ukafa kama madragon yanakuja yamepanuwa mdomo na mazombi kesho unatafuta shekhe wakisomo

NassibuSalim
Автор

Mmh isijekuwa unafungua na mabalaa mengine 😮

allyiddakizimana
Автор

This is like gold detector from to jesus not human made god bless me

johnyagat
Автор

Mbona una weka video za kutisha weka video nzuri ata wataza maji wa siogope

PanyaMtoto
Автор

Asate sasa unamariza muda gani my paka unasimamisha wakat igani kunaweny wanaona byakutisha nawengine kicwa kinauma iyoyote nikukaza roho unaendereya sikuyoyote ritafunguka tu

christainc.
Автор

Dada samahani mimi nimejaribu kwa mara ya kwanza lakini najikuta mwili unakufa ganzi pia najikuta mikono inataka kunyanyuka miguu pia inatak kunyanyuka kichwa nacho napata wasiwasi kama nanyanyuka vile unakuta mwili kama unanyanyuka vile nikistuk kwa uwoga nikijiangalia najikuta hali ile naikuta vile vile kama macho yanaangalia juu naona hivyo hivyo mikono nayo naiona imenyanyuka sasa ndio najiuliza ndio dalili izo au

AminaSalum-ftus
Автор

Mimi naona tu rangi nyeusi na rangi ya bleu

CH.KINYAGHAMARIKONURS
Автор

Nmejaribu kufuata hatua zote dada kuna muda mwili wote unaanza kusisimuka kuanzia miguuni hadi kichwani je hiyo ni dalili moja wapo ya kufunguka kwa jicho la tatu

kabipemathias
Автор

Unaweza fanya hii zoezi kwa mda au masaaa ngapi

sanchezadan
Автор

Ivi kweli mtangazaji utafunza au unaogopesha😂😂😂

justnice
Автор

Natamani kulifungua ila naogopa nsije nikaona mtu kashika lishoka lenye damu anataka kunikata😅

OmaryRamadan-mv
Автор

SAMAHAN NAOMBA, UNIAMBIE
Nikifanikiwa kulifungua? Halitajifunga tena??

DebideMaangalila
Автор

Wee me nimejlibu aisee nimejikta kama vile nipo sehmu tofti na dunia hii huo ni uchawi

khadhiriramadhan
Автор

Hivi inaweza chukua siku ngapi mpaka kufungua

dianagokaldas
Автор

Jaman ukisikiliza somo la meditation la wenzetu hawana ma video ya kutisha zaid kuweka pict za furaha na mafanikio ila kibongobongo sasa🤣🤣🤣🤣utajua hujui full kutishwaa kiasi kwamba Muda wa kufanya meditation una fanya kwa

tausimdimi
Автор

Asante nimefanya hivyo nikahisi matokeo lakini mbona inakuwa ngumu kupata usingizi

mussamussa
Автор

Nasoma comment sitakikuangalia hizi picha mama😢😢😢😢😢😢😮

ElizabethLiz-en
Автор

Miguu ikiwa na shida ya kukunja utafanyaje?

BENADETAMATEKELE
visit shbcf.ru