IRENE UWOYA NA BONGO MOVIE MABEGANI | ARUSHA NI ''OLEMA'' IJUMAA HII

preview_player
Показать описание
Muigizaji @ireneuwoya8 anatarajia kuzindua filamu yake mpya inayokwenda kwa jina la "Olema" huko jijini Arusha siku ya tarehe 08 Septemba 2023.

Mwezi mmoja uliopita Irene Uwoya aliachia Kionjo cha Filamu hii ambayo maudhui yake makubwa yamebebwa na Utamaduni wa Muafrika hasa kwa kiasi kikubwa ikiwalenga Kabila la Maasai ambao maskani yao ni jijini Arusha.

Siku ya leo pia Irene Uwoya alipokuwa pale katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa KIA alionekana akivalia mavazi ya kimasaai na alimfunika shuka Paula wa Kajala na kuonekana katika muonekano wa Kimaasai.

Olema ni Filamu italiyojikita hasa katika kukosoa baadhi ya mila Potofu kwa Baadhi ya Makabila ya Kiafrika na kabila la "Wamaasai" wametumika kama Mfano kwa makabila Mengine.

#votent #ireneuwoya #bongomovie #tumechangamka
Рекомендации по теме