LEO NJO LEO 27.04.20 KIOSQUE - DESINFORMATION SUR LA SITUATION DE MINEMBWE

preview_player
Показать описание
Please watch: "KINSHASA TRAHIT L'EST DE LA RDC"
Avec notre invité Samsita membre du Mouvement des Nationalistes pour la Liberation de la Republique Democratique du Congo (MNLC) - La guerre de Minembwe : la desinformation sur la guerre dans les hauts plateaux de Minembwe
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

congo ina tatizo kubwa kwa sababu hatuna umoja

knttvnews
Автор

Brother, hawo majama niwaizi wangombe 2 wawo ndie warikuwa naredtabara kuchomea nyumba nakuiba ngombe nzawanyamurenge. Huyo mwizi wangombe hata hajui kudanganya bwana journalist Mimi nimezariwa huko murenge. Waambie waache ujinga na ukabira. Sikuyenye watoto wamurenge wakirudi nyumbani hutawasikia tena

imurengetalentawardita
Автор

Sio kweli, na huyo anayeongea sio mkongo. Huyu jama naye anaanza kulipwa hela kuwaoji watu waku wasio wacongo. Mhhm

BYAUNDA
Автор

Bulambo na huu mugeni wake wote wanafanya biashara kwa youtube peke yake. Kila mala anakuwaka na correspondant mumuja anaye badiririsha majina. Wote wawili ni wajinga, hawaelewi tatizo la inchi. Akili yao mdogo inaweza kuharibisha akili ya watoto wadogo ambao hawajui historia ya inchi.

jeff
Автор

Odon, uzidi kutuapasha sana kuusuhaya makundi ya Mai Mai, maana inaleta sasa confusion...na kama ni hiyo ilivyo, maana yake RENE, YAKUTUMBA, EBUELA ni wabepari kabisa. Sitasema mengi hacha tuone ikiwa kweli hiyo chama mpya ya MNLC ni chama cha .wazalendo

limbayagloria
Автор

Mubakie porini kunawafaa. Hamuna haja kuishi katika mazingira mazuri miongoni mwa binadamu wengine. Hapo porini ndipo kuna wafaa

leonmak
Автор

Monsieur BULAMBO, kumbuka kwamba Nehemie alikuwa FIZI siku zlizopita, niya yake kubwa ilikuwa kuunda kikundi kitakachounga wanyarwanda mkono na kwa pamoja wapiganishe MAI MAI...Wait and see....

limbayagloria
Автор

Mbona watu wachache wanataka ku sumbua nchi saa congo heee wakongomani siku gani tutaacha ujinga na tuerevuke

gaelkabwe
Автор

Maongezi yake ayana msingi. Ajuwi elezea habari vizuri. Atumuamini uyu

baruanimunga
Автор

Bara gani duniani umekwisha sikia binadamu anaitwa mgeni katika nchi yake. MUNAOTA, mitazeekea porini

leonmak
Автор

CE soit disant Porte parole nest mm pas congolais, just un ramasis, il doit appartenir aux bakuyakuya installés à uvira...

leonmak
Автор

Aibu kwenu maimai, laana ya kukata wa mama wasiyo nahatia kwa mapanga itawafuta. REVOLUTION YENU NI KUBAKA WANAWAKE??? Kabila ya KAINI, babu wenu

leonmak
Автор

Mudundu 40 iliendaka wapi? Mudundu 40 njo dawa ya mutusi. Inaomba Congo ifungule ule bwana mkubwa wa Mudundu 40.

changingmentality
Автор

yakutumba alikufa kwa vita uvira ila ni siri ya wabembe

LibangadariusTv
Автор

mbona wa bembe na wafuliro mna ukabila kwanini msifwati mjirani zenu bashi, balega, bavila, barundi

LibangadariusTv
Автор

Mumemkataa Mungu mumekataa jamii ya binadamu wenzio muishi Na Wanyama msituni mutaridi uzeeni wengine mutakufia hukohuko

leonmak