MTOTO JAMES ANAYELEA FAMILIA YAKE AJENGEWA NYUMBA

preview_player
ะŸะพะบะฐะทะฐั‚ัŒ ะพะฟะธัะฐะฝะธะต
๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2024 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’….
#wasafi #wasafitv #wasafifm
ะ ะตะบะพะผะตะฝะดะฐั†ะธะธ ะฟะพ ั‚ะตะผะต
ะšะพะผะผะตะฝั‚ะฐั€ะธะธ
ะะฒั‚ะพั€

โคMashaaallah Allah Awazidishie baraka tele katika utafutaji wenu wa Riziki

maryamabdullah
ะะฒั‚ะพั€

mungu awabariki wote mliotoa msaada kwa familia ya james ndio mtanzania anapashwa apende mwenzake. Asanteni.

verdianabanabi
ะะฒั‚ะพั€

Hongera sanaaa dada mungu aku baliki Sanaa

EliudiWiston
ะะฒั‚ะพั€

Mwalimu pamoja na huyo dada aliyechangisha hela mungu awabariki sana

ChristinaKazinja
ะะฒั‚ะพั€

Sina cha kusema ubarikiwe dada ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญโ™ฅ๏ธโ™ฅ๏ธโ™ฅ๏ธโ™ฅ๏ธ

righitkileo
ะะฒั‚ะพั€

Mungu akubariki sana na watu wote wanaochangia

reneemwenda
ะะฒั‚ะพั€

Dada Mungu akusimamie
Na akupe nguvu katika hili. Hao wqnaouliza maswali ya Tasafu achana nao wee endelea na Mungu atakuzidishia

hawaelymaricca
ะะฒั‚ะพั€

Mungu akupe umri mrefu na moyo huo wakujitolea

JamalMassawe
ะะฒั‚ะพั€

Mungu nisamehe Nina afya nakula na bado nalalamika dada na wote wanaochangia

nadiatanzania
ะะฒั‚ะพั€

Mashallah Hadi choz linatoka kuna baadhi ya watu wanapitia changamoto๐Ÿ˜ข

MdNasr-jmpj
ะะฒั‚ะพั€

Bora uwawekee solar. Umeme utawashinda kuulipia mbele ya safari. Watatumia vukoroboi nyumba itakuwa masizi. Kama solar imeshapatikana kutoka Kwa wadau ni jambo jema wakifungiwa. Watoe pressure ya kulipia umeme.

lucykristensen
ะะฒั‚ะพั€

Halafu rais wa nchi anachezea pesa zetu kwa kuwapa wachezaji na timu zinazoshoriki michuamo ya CAF kwa kununua goli 1 milioni 5 ๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข badala ya kuwasaidia wananchi wake, ujinga uliopitiliza

kenedynashon
ะะฒั‚ะพั€

Kwanza nakupongezeni wote muliowezesha hili Jambo.
Pili hongera kwa mwalimu aliyegundua hili.
Tatu pongezi hii nitaitoa kwa Yule ร mbaye atajuwa mama ana matatizo gani?kaathirika kisaikolojia?
Nne pongezi yangu itakwenda kwa Yule atakayemuwezesha mema awe ndiye staring kama awe na kiduka kidogo kibiashara

hassanshadhly
ะะฒั‚ะพั€

Hongereni sana Glad. Kinachonishangaza ni hao maafisa maendeleo ya Jamie ngazi ya Serikali ya mtaa/kijiji/kitongoji wanafanya nini hadi familia ifikie hapo au mtu aone tatizo kwa kubahatisha? Ni wajibu wao kuwaona hao na kuwapeleka kwa wadau maana wao wanawajua wadau wote ma vitu wanavyofanya.

christophermnzava
ะะฒั‚ะพั€

Mungu mwema hakika ametenda kwa uyo mtoto

SuleimanabdulahmanChitanda
ะะฒั‚ะพั€

Allah akulipe dadayangu serekali itizame jicho la pili

hamzafishten
ะะฒั‚ะพั€

KWANZA NITOE PONGEZI NYINGI KWA WADAU WOTE. PILI NAOMBA MAWASILIANO NA HUYO ANAYEJIITA MSIMAMIZI. TATU NI SWALI HIVI TASAF BADO INAFANYA KAZI? KWA NINI HAWAIBUI HAYA AU WAMEZIDIWA?

maryringo
ะะฒั‚ะพั€

Walim kam haw wamebaki wachache san walio bak wote ni burikenge kabsa

omanoman
ะะฒั‚ะพั€

Huyo m.bunge miaka yote hakumuona huyo mpiga kura wake inauma

roudhamahmoud
ะะฒั‚ะพั€

Naombeni namba ya taasisi yenu kwani kunamtu nimgonjwa sana na hana msaada wowote mguu umeoza na hajaweza hata kwenda hospitali kwani hana hela anaozea ndani anahitaji msaada wenu jamani

beathalucas
visit shbcf.ru