DC SABAYA AMUWEKA NDANI MMOJA WA WATU WA Q-NET KWA UTAPELI. ASEMA HAIJASAJILIWA BRELA

preview_player
Показать описание
Sabaya amesema wale wote waliotapeliwa hela zao watatakiwa kurudishiwa na kampuni hiyo
Рекомендации по теме
Комментарии
Автор

Inaama haya yoote aliyofanya sabaya hayaonekani jmn Ee Mungu ni wewe pekee tu tunakulilia mtoe sabaya gerezani Baba😭😭😭😭😭

lucyjeremia
Автор

Mungu awabariki sana sana jamn serialı mko vizur jamn mungu awasaidie tuwe salama ulinikuta iyo

barakamellau
Автор

Huyuuu sabaya alikuwa mtu poa sana jamaniii utatoka tuu kiongozi

bahatimellita
Автор

Mh Sabaya, hongera kwa kutetea haki za watanzania

paulrwechungura
Автор

Mimi mwenyewe nawafahamu wananisumbua adi leo hiii

isackmwambelo
Автор

Kaka asante Mwanza wapo kila mtaa jamani njooni huku ndoa nyingi zimekufa wamama wamevunja ndoa zao.

sillasmsenga
Автор

Mimi wananifuatilia kila siku na wamenipeleka ofcn kwao mwenge sitaki kabisa

josephmallya
Автор

Tuseme serikali halilijui hili campuni wakati office zipo nchini

jumadaud
Автор

Me mwenyew nimenusurika nusu nipigwe imeniuma sana daha atari

mkalwayne
Автор

Huyo tapeli aludishe hela za watu Mara moja,

mpokimwakaje
Автор

Leo wamekufunga sabaya bonge noma Sana

sagilododomamedelipeter
Автор

Jaman walwh mbn hayo mambo kama yakutapeliwa huku zanzbr yapo

nassrajuma
Автор

Hawa wamezidi na mimi nimepigiwa simu saana duh!

maicochacha
Автор

Wapo hapa mbeya mwenyewe walinifuata niliposikiliza maelezo yao
Nikawambia siko tayari

wabenaqualityfurniture
Автор

Hili neno Q'NET sio geni kulisikia:
SIKUINGIA BADA YA KUJIULIZA MASWALI HAYA NA KUKOSA MAJIBU 👇👇
1) Kwa nini hii ishu inatakiwa kuwa siri hadi pale mtu akishajiunga na kuwapeleka na wengine?

2) Kwa nini hii biashara haizingatii kigezo cha elimu ya mtu ama uelewa katika kujiunga?

3) Kwa nini ili nisajiliwe lazima ninunue kitu kwao na gharama ziko juu zaidi ya milioni 3 na siyo chini ya hapo?

4)Kwa nini hawana bidhaa yoyote ambayo naweza kuizungusha katika biashara ili kuirudisha hela niloitoa kwao kwa kununua bidhaa hiyo?.

Baada ya hapo nikapotezea tu sikuweza kukopa fedha ama kuuza kitu kisha kuikabidhi kwa mtu wakati sijui namna ya kuirudisha.

POLENI SANA WAHANGA WA HII ISHU.

abdulbogoyo
Автор

Hapa DSm wapo na wamezidi kuwatapeli wajinga, serikali inabidi muwanasue wajinga walioingia kwenye mtego huu

isayakirway
Автор

Huu uaminifu wetu watz umezidi hadi kufikia ulimbukeni tena. Unampaje mtu pesa mkononi na bila risiti?! Haya si ndo yale mambo ya miaka ya 90 kabisa?

josejohnhalindogo
Автор

Good morning Billionaires😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂! Morons are all over! Get rich quick schemes 😂😂😂😂😂. We need to question integrity ya hawa waalimu 😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂😂. Kuna fala mmoja alinionyesha lichuma kama cheni eti linazuia mionzi😂😂😂, nikamwambia am not gallible 😂😂😂😂😂😂😂😂 risit inatoka mitandaoni😂😂😂😂.

johnmacha
Автор

Walimu na hao wafanyakazi very stupid hata maana ya walimu hakuna maana hawajitambui unampaje mtu hela bila risiti

hamadmhchande
Автор

Shortcut haijawahi kuwa nzuri hata siku moja

tomaamireni