Kundi la vijana linavyotishia usalama wa wananchi Tabora

preview_player
Показать описание
Baadhi ya wakazi wa Mji wa Tabora wamelalamika kuzuka kwa kundi la wahalifu wanaodaiwa kuwa ni vijana 20 hadi 30 wakitumia silaha za jadi ambapo Jeshi la polisi mkoani humo limethibitisha kupokea madai hayo kama anavyoeleza Juma Kapipi.

Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:

Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
Рекомендации по теме
visit shbcf.ru